Mwanaume kuomba msamaha kwenye Mapenzi ni udhaifu

Mwanaume kuomba msamaha kwenye Mapenzi ni udhaifu

Mwanaume haombi msamaha kwa Mpenzi/Mke wake! Bali tunamaliza kesi/ugomvi.

Msamaha utaombwa kesi ikifika kwa paroko au shehe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Wewe rigendii aisee
 
Sio kweli boss... Ukitaka uenjoy mapenzi kusiwe na kushindana kwa nguvu ( kusiwe na mmoja kujiona ana nguvu zaidi ya mwenzake ). Elewa mpenzi wako na wewe mnaishi kwa kutegemeama... umekosa omba msamaha, amekosa aombe msamaha aseme samahani
Sasa pale anapokosea alafu unaomba wewe msamaha inakuwajw hapo???
 
Ukiomba msamaha una kufa?
hapa vidada vinajidai ukiomba msamaha unakufa hapohapo unakuta mtaani vina majamaa matukutu hayaombi msamaha na bado wanawapenda.

teh teh.. tuishi nao kwa akili hawa wake zetu wa badae, ni matata sana.
 
Sasa pale anapokosea alafu unaomba wewe msamaha inakuwajw hapo???

Hata Masihi alikufa kwa wenye dhambi... ingawa yeye hakuwahi kutenda dhambi... sio mbaya mala moja moja kuwa responsible kwa makosa ya mwingine
 
Kama umefanya kosa haijalishi ni kwa nani kuomba msamaha hakupunguzi kitu.

Mm nikikosea huwa naomba msamaha hata kama mtu ni mdogo kwa umri kwangu. Kuna watu hawajui kuomba msamaha anafanya kosa halaf kesho anakusemesha kama hamna tatizo huwa sijibu.
Hongera
 
Mapenzi yana nguvu sana hasa kama Hujawahi kuumizwa, lakini katika Makosa yote mtu hasa mwanaume anaweza kuyafanya kwenye mahusiano bhasi ni KUOMBA MSAMAHA kwa kosa ambalo sio lako ili mradi tu usimpoteze mwanamke ulienae ni Uboya wa kiwango cha lami.

Omba msamaha kwa kosa ulilofanya sio manzi kazingua alafu wewe unaanza kutetemeka hata kama ndo Kujua mapenzi ukubwani wanaume kamili hafanyi hivyo na ukifanya hivyo Huyo mwanamke atazidi kukudharau japo najua wapo wengi waliowahi kufanya hivyo na wengine bado wanafanya hivyo. Sio manzi tu hata Mkeo akikosea yeye ndo atetemeke na kuomba msamaha acha kupalilia penzi lililokufa.

Imeishaaa hiyo.....

Pia, slma Ukimkosea Mwanamke usimwombe msamaha, piga kimya. Ukiomba msamaha ndio umeanzisha vita
Naam
 
Back
Top Bottom