Mwanaume kuvaa hereni ni kutamani yale wanaofanyiwa wanawake kwa waume zao?

Mwanaume kuvaa hereni ni kutamani yale wanaofanyiwa wanawake kwa waume zao?

Rais2020

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
3,248
Reaction score
5,537
Amani iwe kwenu

Kwa Mara kadha wa kadha nimekuwa najiuliza maswali machache juu ya wanaume wanaovaa hereni hasa wasanii na wachache wasio wasanii. Kutokana na hali hyo nimejiuliza maswali machache ambayo mnaweza kunisaidia kuyapatia ufumbuzi.

Je,hii tabia ya kuvaa heleni kwa wanaume ni kwamba wana hormone za kike nyingi?

Je,huwa wanatamani ushoga?

Je, huwa wanapenda waonekane kuwa hawana tofauti na wanawake?

Je,huwa ni matamanio ya kubeba mimba?

Je,huwa ni urembo ili wapendeze kama wanavopendeza wanawake(yaani waonekane sawa wanawake).

11bd768914de4e61ad32cc7ebd2fc641.jpg


*Upande wa Pili hali ikoje*
Kwenye maandiko matakatifu kutoka kwenye biblia na qurani yanaruhusu mwanaume kuvaa hereni na wakati mwingne kutoa pua?
034f76f9191347bd1680b3e66fe17462.jpg


Natumai nitapata majibu ya maswali yangu japo wanaume wanaovaa hereni na kutoa pua wataonekana kunishambulia kwa kuwachafulia CV yao na haiba yao.
 
Uvaaji wa hereni kwa wanaume mara nyingi ni kwa ajili ya mbwembwe na kuonyesha jeuri ya fedha. Hizo habari za kupumuliwa, ni mawazo yako tu, so jitathmini pia kwanini unakuwa na mawazo kama hayo.
Mkuu naona kwa mbali hata profile yako INA MTU ambae kavaa heleni. Kumbe ndo jeuri ya pesa???
 
Mkuu naona kwa mbali hata profile yako INA MTU ambae kavaa heleni. Kumbe ndo jeuri ya pesa???

Kwa hiyo ume-zoom kabisa picha ya mwanaume mwenzio na huoni tatizo?

Anyway, Yup! ni jeuri ya pesa. Na kwa utamaduni wa jamaa, hiyo ni sehemu ya mbwembwe. Kuwa makini na unayohisia watu mkuu, unaweza jikuta pabaya.
 
Hao ndio wanaotuletea ujinga usio na maana, mwanaume halisi ulie lelewa vizuri huwezi vaa heleni na mke wako nae avae heleni ? ? muwe mnabadilishana ? ? aibu kubwa sana, anakuuliza na wewe una muuliza UMEPENDEZA ?
 
Binafsi Sivai hereni, sintovaa hereni coz sioni sababu na sina hobby hiyo

ILA, Naamini wanaume wanaovaa ni swagaz tu na kuonesha uclass flani

Mfano mzuri unamfahamu vizuri huyo Diamond, ni baba wa familia...je ulishawahi kusikia habari ya kutaka kupumuliwa?

Je Mr. Blue?

Je Young Killer?

Je P.Didy?

Ni swaggaz tu naona.
 
Uvaaji wa hereni kwa wanaume mara nyingi ni kwa ajili ya mbwembwe na kuonyesha jeuri ya fedha. Hizo habari za kupumuliwa, ni mawazo yako tu, so jitathmini pia kwanini unakuwa na mawazo kama hayo.

Jeuri ya fedha kwa mwanaume Ni kuishia kujinunulia hereni?very pathetic!is there any other important thing we can do?

CC;BIG,"putting five carrots to my baby girl ear" hiyo ilikua jeuri ya Notorious BIG but he never mentioned/brag himself for such petty and unuseful things,he also addressed the ability to move out from the projects to his own house with his mom.jeuri ya pesa kwa hustler .hereni kwa mwanaume Ni sawa Na ushoga tu nothing else .
 
Uvaaji wa hereni kwa wanaume mara nyingi ni kwa ajili ya mbwembwe na kuonyesha jeuri ya fedha. Hizo habari za kupumuliwa, ni mawazo yako tu, so jitathmini pia kwanini unakuwa na mawazo kama hayo.
Mimi, Dangote, Bakhresa, Mengi mbona hatuvai?
hao wenye mbwembwe za pesa kuna siku wataanza kuvaa pedi,na tutawetetea hivihivi
 
Hereni kwa ukweli mwanaume rijali huwezi vaa, Hereni ina asili ya ushoga coz nakumbuka kuna kipindi Niko tanga high school miaka ya 2000 mwanzoni walikuja wanajeshi wa kifaransa nadhani kwenye mazoezi ya kijeshi basi wakawa wanapita mitaani na kipindi kile vijana si ndio wameshika kasi na vihereni kwa kuangalia wasanii wa USA wanafanya nini.

Basi kuna mjeda mmoja wa France akamtomasa msela alievaa Hereni matako basi ikawa shida mpk polisi HAPA pale mkalimani huyu yule mjeda akajitete alijua jamaa Ni shoga coz kwao mwanaume anaevaa Hereni sikio la kushoto Ni tangazo kuwa analiwa.

So tusigeze vitu bila kudadisi mtadhalilika mbele ya mnaowaheshimu
 
Exodus 32:1–4(Kutoka 32:1-4)............Uongeze maarifa...........
 
Vipi kuhusu ambao tamaduni zao zinaruhusu wao kuvaa heleni kama wamasai?

Kimjaacho mtu ndiyo kimtokacho kama wewe mawazo yako yapo kishoga Lazima wewe ndiyo unapumuliwa.
Inaonekana mtoa Mada kapiga ikulu,

Badilika hakuna ulembo wa mwanaume kuvaa heleni.

Zaidi ya kuhamasisha vitendo visivyofaa.
 
Inaonekana mtoa Mada kapiga ikulu,


Badilika hakuna ulembo wa mwanaume kuvaa heleni.

Zaidi ya kuhamasisha vitendo visivyofaa.
Hujanijibu kuhusu wanaume wamasai wanaovaa heleni?
 
Amani iwe kwenu wana MMU.
Kwa Mara kadha wa kadha nimekuwa najiuliza maswali machache juu ya wanaume wanaovaa heleni hasa wasanii na wachache wasio wasanii. Kutokana na hali hyo nimejiuliza maswali machache ambayo mnaweza kunisaidia kuyapatia ufumbuzi.
Je,hii tabia ya kuvaa heleni kwa wanaume ni kwamba wana hormone za kike nyingi?
Je,huwa wanatamani kupumuliwa?
Je, huwa wanapenda waonekane kuwa hawana tofauti na wanawake?
Je,huwa ni matamanio ya kubeba mimba?
Je,huwa ni urembo ili wapendeze kama wanavopendeza wanawake(yaani waonekane sawa wanawake).
11bd768914de4e61ad32cc7ebd2fc641.jpg


*Upande wa Pili hali ikoje*
Kwenye maandiko matakatifu kutoka kwenye biblia na qurani yanaruhusu mwanaume kuvaa heleni na wakati mwingne kutoa pua?
034f76f9191347bd1680b3e66fe17462.jpg

Natumai nitapata majibu ya maswali yangu japo wanaume wanaovaa heleni na kutoa pua wataonekana kunishambulia kwa kuwachafulia CV yao na haiba yao.
KUPUMULIWA NI SIRI SANA HUWEZI KUIONA HALI HIYO LAKINI HUJIDHIHIRISHA KWA NJE KWA KUVAA HELENI.
 
KUPUMULIWA NI SIRI SANA HUWEZI KUIONA HALI HIYO LAKINI HUJIDHIHIRISHA KWA NJE KWA KUVAA HELENI.
So wanaume wamasai wote wanaovaa hereni ni mashoga? Kwa hii reasoning Tanzania ya viwanda itabaki kuwa story
 
Kwa kuwa mada inawahusu leo mtakuwa wepesi kujitetea. Semeni ukweli sio mnazunguka zunguka hapo hapo.

Kama huyo mmasai kwanza inatakiwa mtofautishe utoboaji wa hilo sikio lake na pia aina ya hereni aliyoivaa.
 
Back
Top Bottom