Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Uvaaji wa hereni kwa wanaume mara nyingi ni kwa ajili ya mbwembwe na kuonyesha jeuri ya fedha. Hizo habari za kupumuliwa, ni mawazo yako tu, so jitathmini pia kwanini unakuwa na mawazo kama hayo.
Kujipamba kwa mapambo kama hereni na mikufu ni hulka za kike.