Mwanaume kuvaa shanga/cheni kiunoni ina maana gani?

Mwanaume kuvaa shanga/cheni kiunoni ina maana gani?

Kwanza wewe ulijuaje au unapiga chabo wakiwa kwenye kitchen party
 
Ninajamaa angu anaishangaza sana, akiwa na kideti na demu huwa anavaa shanga zile za kimasai na moja ya cheni kiunoni, nikamuuliza anavaa ili iweje

Nanukuu ''Ukimpiga demu ukiwa umevaa shanga ataenda kumpa story shost
wake naye atajilengesha aje kujionea naye unammega'' Mwisho wa kunukuu

Ni kweli Kuna wanawake wanaopenda mwanaume anayevaa shanga?

View attachment 405526
Wewe si kila anayevaa suruali ni mwanaume halaa
 
Wengine kawaida, ukijipendeza kusema choko anakula wewe kiulaini
 
Si vibaya ila anayo maana yake kuvaa shanga.

Kwani waliotobia pua na masiko,

Kupaka rangi kucha na make-up hamjawaona.
 
Kuna msanii naye alishawahi kuonekana kwenye Television akiwa na shanga nyeupe nadhani pia ni ushirikina
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
He must be gay or bisexual
 
Ninajamaa angu anaishangaza sana, akiwa na kideti na demu huwa anavaa shanga zile za kimasai na moja ya cheni kiunoni, nikamuuliza anavaa ili iweje

Nanukuu ''Ukimpiga demu ukiwa umevaa shanga ataenda kumpa story shost
wake naye atajilengesha aje kujionea naye unammega'' Mwisho wa kunukuu

Ni kweli Kuna wanawake wanaopenda mwanaume anayevaa shanga?

View attachment 405526
Story tu hizi. Hakuna mwanaume anayevaa shanga.
 
naona picha ya marehemu kaoge shoga maarufu la enzi hizo ndani ya mango garden
 
Back
Top Bottom