Mwanaume mashine; Pitia hapa uone mashine za kisasa kwenye kituo kipya cha TV cha Lemutuz

Hivyo vyombo(camera)mbona Kariakoo zipo ?hata ubora zimezidiwa na vifaa vinavyouzwa pale kwa marehemu Mh Deo Filikunjombe -Jumbo Camera.Watu kwa kupenda sifa hamjambo

Ubora wa vifaa kwa wewe huwa unautambuaje kwa kutumia picha mkuu??
 
hahahahaha nimecheka sana hakika
 
Ubora wa vifaa kwa wewe huwa unautambuaje kwa kutumia picha mkuu??
Sio kwa kutumia picha ingawa hata kwa kutumia picha unaweza kujua ubora kwa mtu ambaye unavijua hivyo vifaa na mimi navijua hivyo vifaa hata kwa kufumba macho najua hii ni model/brand gani
 
Sio kwa kutumia picha ingawa hata kwa kutumia picha unaweza kujua ubora kwa mtu ambaye unavijua hivyo vifaa na mimi navijua hivyo vifaa hata kwa kufumba macho najua hii ni model/brand gani

So ni fake izo
 


Nimeona vitu vitatu:

- Camera.
- Viti 3.
- Flush

Mashine za kisasa hapo ni zipi? Nyumba? carpet? hivi umeona mashine za kisasa kweli wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…