Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahhaha umetisha mkuuMi naona viti, mashuka ya kijan plus set kadhaa za tv which hata bar na pubs wanazo pia
View attachment 572587
Wakati yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya macho na maskio ya mamilioni ya watanzania kuhamishiwa downtown Bongo kwa tukio kubwa namba mbili mwaka huu ,huku namba moja likiwa lile la usomaji wa ripoti ya mchanga.
Mmiliki wa kituo hicho kikubwa cha televisheni amewaonesha mashabiki wake mashine kadhaa alizonunua Marekani na Ulaya zikiwa katika majaribio ya mwisho mwisho.
Baadhi ya mashine za kisasa zilizobahatika kutambulishwa na Lemutuz ni mashine maalum za kuongelea(mics), vifaa vya kukalia (maarufu kama viti), kamera za kisasa kabisa zenye uwezo mkubwa, extension cables zenye urefu usioelezeka, acs pamoja na mashine nyingine ndogondogo kama vifaa vya kunywea chai na super coffee.
Lemutuz amedai ubunifu na kila kitu kwenye studio yake kunaenda kubadilisha jinsi watu wamezoea kupokea habari na uenda ikawa ni revolution itakayodumu kwa miaka 100 ijayo.
Pia Lemutuz ametumia muda huo kuwaomba vijana waliomaliza vyuo vikuu kuanza kutuma maombi ya ajira katika kampuni hiyo kuwa ya utangazaji
Mishahara nani atawalipa hao vijana. Labda mzee Malecela atumie pension yake vinginevo wategemee maumivu mjini.Kutoa ajira kwa vijana ni hatua nzuri! Hongera zake
Acheni wivu wa kipuuzi,angekua mange hapo mngetoa sifa kibao,ilavkwa wile ni studio ya kubwa jinga mnampoondaaa....mpeni pongezi zake licha ya kua bdo ni limbukenihahahaha studio au danguro hilo?
View attachment 572587
Wakati yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya macho na maskio ya mamilioni ya watanzania kuhamishiwa downtown Bongo kwa tukio kubwa namba mbili mwaka huu ,huku namba moja likiwa lile la usomaji wa ripoti ya mchanga.
Mmiliki wa kituo hicho kikubwa cha televisheni amewaonesha mashabiki wake mashine kadhaa alizonunua Marekani na Ulaya zikiwa katika majaribio ya mwisho mwisho.
Baadhi ya mashine za kisasa zilizobahatika kutambulishwa na Lemutuz ni mashine maalum za kuongelea(mics), vifaa vya kukalia (maarufu kama viti), kamera za kisasa kabisa zenye uwezo mkubwa, extension cables zenye urefu usioelezeka, acs pamoja na mashine nyingine ndogondogo kama vifaa vya kunywea chai na super coffee.
Lemutuz amedai ubunifu na kila kitu kwenye studio yake kunaenda kubadilisha jinsi watu wamezoea kupokea habari na uenda ikawa ni revolution itakayodumu kwa miaka 100 ijayo.
Pia Lemutuz ametumia muda huo kuwaomba vijana waliomaliza vyuo vikuu kuanza kutuma maombi ya ajira katika kampuni hiyo kuwa ya utangazaji
Babu yupo na stress za kufa mtu mana 2mbo kubwa machine nukta,mjumbe wa jumuiya ya wazazi anaweza kujiua muda wowote fanyeni hima wanaccm wenzakeLemutuz ongea lolote humu JF
Hahahaha et vifaa mbalimbali vya kunywea chai dah Watu bwana. Mawaziri wa magu waje waizindue, km walizndua ofc ya fundi cherehani Lemutuz has done more bna.Yani stand za camera na viti ndiyo mitambo ???
Nimependa hapo "vifaa mbalimbali vya kunywea chai ikiwemo super coffee"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu arif msaga sumu kweli[emoji23]Extension cable zenye urefu usioelezeka [emoji23][emoji23]
Kwa kidhungu ni OKRA au Ladies fingersPamoja na kumiliki hivyo pia ana kibamia
Mics na viti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] le kiber100 kwa misifa ni shidaaaView attachment 572587
Wakati yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya macho na maskio ya mamilioni ya watanzania kuhamishiwa downtown Bongo kwa tukio kubwa namba mbili mwaka huu ,huku namba moja likiwa lile la usomaji wa ripoti ya mchanga.
Mmiliki wa kituo hicho kikubwa cha televisheni amewaonesha mashabiki wake mashine kadhaa alizonunua Marekani na Ulaya zikiwa katika majaribio ya mwisho mwisho.
Baadhi ya mashine za kisasa zilizobahatika kutambulishwa na Lemutuz ni mashine maalum za kuongelea(mics), vifaa vya kukalia (maarufu kama viti), kamera za kisasa kabisa zenye uwezo mkubwa, extension cables zenye urefu usioelezeka, acs pamoja na mashine nyingine ndogondogo kama vifaa vya kunywea chai na super coffee.
Lemutuz amedai ubunifu na kila kitu kwenye studio yake kunaenda kubadilisha jinsi watu wamezoea kupokea habari na uenda ikawa ni revolution itakayodumu kwa miaka 100 ijayo.
Pia Lemutuz ametumia muda huo kuwaomba vijana waliomaliza vyuo vikuu kuanza kutuma maombi ya ajira katika kampuni hiyo kuwa ya utangazaji
On my way up!!! Hahahahaaa! Big up le big man!- Studio ni sehemu ya sanaa ni lazima iwe tofauti na ofisi ya kawaida pole sana ila mambo ya sanaa ni kuyajua huwezi kubahatisha!!
le Mutuz