Mwanaume mashine; Pitia hapa uone mashine za kisasa kwenye kituo kipya cha TV cha Lemutuz


HII NI STUDIO SIO TV STATION TUACHE UTANI...
 
Duh ukisikia kuna watu wanadumaa basi huyu jamaa yake imedumaa! hicho chumba hata za vile vya massage au madanguro ni vizuri.viti vitatu ataajiri nani? kiti kimoja ni cha muro, kingine chake na kimoja ni le mbebez ,mkerezi
 

Huyu jamaa ni mwezi mchanga
 
Naona kwenye Meza kuna vifaa maalumu vya kunywea kifungua kinywa, maarufu kama KIKOMBE...!
Amazing...this we call a revolutions..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115]
 
Yani stand za camera na viti ndiyo mitambo ???

Nimependa hapo "vifaa mbalimbali vya kunywea chai ikiwemo super coffee"
Hahahaha et vifaa mbalimbali vya kunywea chai dah Watu bwana. Mawaziri wa magu waje waizindue, km walizndua ofc ya fundi cherehani Lemutuz has done more bna.
 
Mics na viti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] le kiber100 kwa misifa ni shidaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…