Mwanaume mbembeleze mwanamke baada ya ugomvi, mtatuua kwa stress

MWANAUME UKIWEZA
Kumjari mkeo
Ukampenda
Ukajishusha mkihombana
Ukam... T... Omba vizuri
Na ukawa na hera
#HUAGA VINALALA KABISA
 
Alishakufaga ndo mana malaya wananenepa maana hawawazi[emoji3][emoji3]..yani sometimes mpaka najisemea eeh Mungu nifundishe kunyamaza .. nakua desperate mno
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah
 
Mimi nijuavyo ili demu akupende
Muhonge
Mtoe ubikira
Mdanganye sana
Mkaze kweli kweli
Usitaniane nae mara kwa mara
Usimbembeleze
Uje mpige kofi la adabu
Usijigambe kwake unauwezo wa kifedha
 
😂😂😂😂😂
 
Ndugu una roho ngumu sana..hapana!!
 
Imeandikwa wapi kwamba kuomba msamaha ni kujidharaulisha? Yaani kweli kabisa wanaume mnaona kuwaomba msamaha wake zenu ni kujidharaulisha? Kwani wake zenu ni miti au? Hivi kwani wanaume mnatuchukuliaje wanawake?

Kiukweli tunawachukulia vizuri sana na tunawapenda, ila from my experience mwanamke anataka kuwa na mwanaume strong, na huwa mnajisikia raha sana, lakini mwanaume huyo akianza kuonyesha udhaifu basi hata mke pia anashindwa kumwamini na mwisho hampendi tena au anamdharau
 
Wenzangu wanaume tunaopitia maoni ya watu na kuguna tu hebu soma na hapa ubaki kimya hivyo hivyo
 

Hapana siyo kweli hakuna mwanamke asiyependa kuombwa msamaha hiyo ni mitazamo tu ya kijamii na kuomba msamaha siyo udhaifu bali pia ni agizo hata kwenye maandiko kila binadamu inatakiwa aombe msamaha pale alipokosea tena aombe msamaha kwa maneno na siyo kwa vitendo
 
Papuchi itabaki chombo cha starehe tu , na ni kwambie tu mwanaume boya ndiye anayebabaishwa na papuchi ila anayejielewa kamwe hawezi kubabaishwa na bitches like you . So suck the pills and cool down you slut

Kwahiyo hata wewe ulitokea hapo hapo kwenye chombo cha starehe siyo? Have some manners you douchebag.
 
Povu tu linamtoka huyu bibie ,anafikiri papuchi ni big deal sikuhizi , pumbavu zake .

Papuchi zimezagaa mitaani huko sasa nikae kuumiza kichwa na mwendawazimu mmoja tu mnuka k , kisa lipapuchi .

Hell no , over my dead body

Ulivyosema haubabaishwi na papuchi nikajua labda hauzitumii kabisa kumbe unaiacha moja unaenda kwa nyingine ahahahah sasa hapo bado zinakubabaisha kama kawaida zingekuwa hazikubabaishi ungeachana nazo kabisa ukatafuta sehemu nyingine ya kumalizia haja zako ila kama bado unahangaika nazo badilisha kauli punga wewe

Narudia tena hauwezi kushindana na ulikotoka halafu bora hata ungekuwa unaongea hivyo halafu mtu wa maana unakuta unaongea hivyo halafu hauna mbele wala nyuma na kuna wanawake wanakuona kama takataka tu sasa sijui unadhani unapendwa sana hadi uongee hivyo masikini pole
 
Tumawaona kama wendawazimu tu msiojielewa , hamjui mnachotaka

Hahahaha unaongea hivyo kama nani yaani kwa mfano? Na wewe ukiwaona au ukiwachukulia wanawake hivyo inawaongezea nini au inawapunguzia nini kwenye maisha yao? Wewe na wapumbavu wenzio wengine mna impacts gani kwenye maisha ya wanawake wote? Ukishajiuliza hayo maswali ukajijibu ndo uje kuongea hizo shits zako tena kuhusu wanawake
 
Na simama na ww kiongoz. Mi labda niende mishe nishtukie lose money ya ukweli ndo nitarudi om nikiwa tofaut na kusahau ule mzozo wote .... money, ...... honey
 

si ndio nashangaa hommie nimekuita uje ujionee mambo ya "vijana"...na tena kama huna connection na operator wa simu unasubiri mpaka watu wake waishe. gademiit
 
Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • Chicago- Hard To Say I'm Sorry (Music Video).mp4
    12.5 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…