Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanawake wenye pesa na wanaolewa siyo wanawake? Au hao wanaowaoa siyo wanaume? PoleKuna uzi huko usioe mwanamke mwenye pesa au mtumishi umeumia,nadhani umeusoma jukumu lenu kuzaa ukiamua pesa manake imejitoa kuolewa full stop
Khee sasa hapa unadhani unaongea na mwanamwali au? Au ulitaka hadi nikwambie kwamba nimeolewa? Kwa taarifa yako nimeolewa na nina watoto masikini kumbe ulidhani unaongea na mdangaji?Na nyie mnaotaka uhuru mnaushia kuwa left overs,watu wanatolea nyege wanasepa hamuwezi kuolewa
So uchague kuolewa au kuwa wa kutolea wanaume nyege
Na wewe kulisha familia utalisha tu na hauhitaji kusifiwa kwa hilo kwa sababu ni jukumu lako yaani ni lazima ulifanye bila kuhitaji malipo yoyote yaleKuzaa ni kuzaa lazima uzae sasa unachotaka kunitwisha kisa unazaa hakibebeki,kuzaa utazaa tu sasa sijui unataka kwamba kisa unazaa ndo tuimbe hakuna kama mama,hili kwangu halipo ni jukumu lako kuzaa
Mgegedo soon baada ya kubembelezwa unaukumbuka?Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale
Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee
Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako
Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana
Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa
Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake
Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena
Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana
Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi
Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia
Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano
Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
Nalisha ndio lakini nimeshika mpini wewe unaelishwa umeshika makali lazima utii wa sheria bila shuruti uchukue mkondo wakeNa wewe kulisha familia utalisha tu na hauhitaji kusifiwa kwa hilo kwa sababu ni jukumu lako yaani ni lazima ulifanye bila kuhitaji malipo yoyote yale
Lazima uinamie kama unabisha leta jeuri uisome namba japo mke gani yuko mtandaoni mda wote unatia mashaka au leo zamu ya mzee kupikaKhee sasa hapa unadhani unaongea na mwanamwali au? Au ulitaka hadi nikwambie kwamba nimeolewa? Kwa taarifa yako nimeolewa na nina watoto masikini kumbe ulidhani unaongea na mdangaji?
Na mwa taarifa yako tu kuna wanawake wengi tu wenye mitazamo kama yangu wameolewa na ndoa zimedumu pole acha kuteseka siyo kila mwanaume ana mambo ya ajabu kama wewe
Labda wameoa vi ben ten huku kwetu hawapo unless ni biashara ya familia ambayo kimsingi ni ya mwanaume wale wanawake wenye pesa ni single mom au wameachika hasa watumishi maana wafanyabiashara wa kike wengi wana pesa ya nyanya ambayo haina madharaHao wanawake wenye pesa na wanaolewa siyo wanawake? Au hao wanaowaoa siyo wanaume? Pole
Halafu huyo mke akishakutii na wewe ndo utampenda?Nalisha ndio lakini nimeshika mpini wewe unaelishwa umeshika makali lazima utii wa sheria bila shuruti uchukue mkondo wake
Usikariri maisha unafanya tutilie mashaka uwezo wako wa kufikiri ilihali unajiita mwanaume kamili, shame. Halafu kwahiyo mke wa mtu kukaa mtandaoni muda mwingi ni ajabu ila mume wa mtu kukaa mtandaoni muda mwingi ni kawaida siyo? Hii ndiyo Africa bwana tena Africa ya watu waliotawaliwa na wasioendelea.Lazima uinamie kama unabisha leta jeuri uisome namba japo mke gani yuko mtandaoni mda wote unatia mashaka au leo zamu ya mzee kupika
What is kupenda by the way,kwangu kutamka nakupenda is like kutamka samahani only actions will second meHalafu huyo mke akishakutii na wewe ndo utampenda?
Sijui hata kama wewe mwenyewe umekielewa ulichokiandika hapaLabda wameoa vi ben ten huku kwetu hawapo unless ni biashara ya familia ambayo kimsingi ni ya mwanaume wale wanawake wenye pesa ni single mom au wameachika hasa watumishi maana wafanyabiashara wa kike wengi wana pesa ya nyanya ambayo haina madhara
Kama mwanamke kuwa na pesa inayompa sauti ni dili mwambie kaka yako aoe mmja wao upate wifi
Siyo lazima utamke ofcourse namaanisha hizo hizo actions je unamhudumia na unamjali mkeo ipasavyo?What is kupenda by the way,kwangu kutamka nakupenda is like kutamka samahani only actions will second me
Ndo maana haondoki kwaoSiyo lazima utamke ofcourse namaanisha hizo hizo actions je unamhudumia na unamjali mkeo ipasavyo?
Basi poa.Ndo maana haondoki kwao
Kwa taarifa yako wanawake wana enjoy sana msimamo wangu wa kutokucheka na nyani nivune mabua hata nikitokea mdada kulia lia huwa sina so wanaona sio cheap manBasi poa.
Okay tumekusikiaKwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale
Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee
Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako
Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana
Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa
Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake
Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena
Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana
Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi
Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia
Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano
Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
HAHA SOMEHOW I CAN REVIEW THIS,I ONCE EXPRECIENCE THIS TO MY PAST ROMANTIC RELATIONSHIP. IT'S WEIRD BUT IT MATTERS TOO.Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale
Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee
Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako
Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana
Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa
Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake
Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena
Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana
Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi
Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia
Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano
Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji