Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hii theory tu, hakuna ukweli ktk hilo kabisaaaaa.Bnadam wote kuanzia kiunon kwenda juu wanalngana bla kujalsha m1n mrf na mwngne n mfupi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii theory tu, hakuna ukweli ktk hilo kabisaaaaa.Bnadam wote kuanzia kiunon kwenda juu wanalngana bla kujalsha m1n mrf na mwngne n mfupi.
Mwanamke ana sababu ya kumpendea mwanaume. True love, I mean natural love, pesa, n.k ukiwa na pesa utapendwa tu.Hapo ujue mwanaume kapendwa hasaaa.
Kumbe jina lake eti zombi[emoji86] [emoji86] [emoji133] [emoji16] [emoji15] [emoji7] [emoji15] samahani mtoto mzuriMajina ya ajabu yapi Mkuu?
Hahaahaaa. Pole sana Mkuu.Kumbe jina lake eti zombi[emoji86] [emoji86] [emoji133] [emoji16] [emoji15] [emoji7] [emoji15] samahani mtoto mzuri
Mkuu n kwel katafute ambae mnatofautiana kimo hlf utaleta mrejesho.Hii theory tu, hakuna ukweli ktk hilo kabisaaaaa.
AiseeUmri tu unawazuzua ngoja waanze kuchoka halafu mume hawamwoni wa kumuoa kati ya hao warefu anaowataka. Atatamani aolewe hata na mbilikimo asitirike tu
mtazaa mkazi wa msitu wa kongo.Nimejaribu kusikiliza story nyingi za wanawake warefu wanasema "sitaki kuolewa na mwaume mfupi"[emoji16] [emoji16] inamaana wafupi kwa wafupi na warefu kwa warefu Au Mwanaume mrefu kwa mwanamke mfupi.
Sasa sisi wanaume wafupi tukioa tena wanawake wafupi tutazaa kitu gani?
ila haupendezi si eti [hajar]Kabisaaa ufupi sio ugonjwa.
Hahahaaa. Hapana. [emoji85][emoji85]
Nadhani ni zile tabu zao sababu wengi wanasifika ni watata balaa na hawajiamini pia kutokana na ufupi wao.
(Wafupi mnisamehe)
Mmh. Mmh. Mmh.Sema wanawake warefu wananikera kitu kimoja [emoji31][emoji31][emoji31]wote niliokutana naowanamapango hayo
Wanawake warefu mnisamehe bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na anakupenda kwelikweli.Mimi mke wangu ni mrefu alikuwa anapenda kuolewa na mwanaume mrefu matokeo yake kadondokea kwa mfupi
Ndio aisee. 🙈🙈ila haupendezi si eti [hajar]
Hahahaaa. Sijui kama inawezekana Kaka ake narudia kusema sijuii.Oaneni wafupi tu mnaweza kuzaa watoto warefu.
Hakuna jinsi yote yanawezekana; cha msingi ongeza bidii ya utafutaji wa pesa.