mwanaume mkristo anaenyimwa unyumba, mke hawawezi shiriki tendo, kuhamishwa mkoa kikazi, na hurusiwi kuongeza mke, mnakabilianaje na hii hali

mwanaume mkristo anaenyimwa unyumba, mke hawawezi shiriki tendo, kuhamishwa mkoa kikazi, na hurusiwi kuongeza mke, mnakabilianaje na hii hali

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hii hali huwa imekaaje kwa wakristo.

Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa

- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa

-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.

....

Na hurusiwi ongeza mke.

hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?
 
Hii hali huwa imekaaje kwa wakristo.

Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa

- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa

-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.

....

Na hurusiwi ongeza mke.

hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?
Solder wa wapi wewe umezubaa hivyo?jiongeze kimyakimya
 
Hii hali huwa imekaaje kwa wakristo.

Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa

- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa

-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.

....

Na hurusiwi ongeza mke.

hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?

Endelea pale Suleimani alipoishia...
 
Hii hali huwa imekaaje kwa wakristo.

Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa

- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa

-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.

....

Na hurusiwi ongeza mke.

hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?
Sasa mke anakunyima makusudi au anakunyima kwa sababu anaumwa ?
 
Hii hali huwa imekaaje kwa wakristo.

Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa

- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa

-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.

....

Na hurusiwi ongeza mke.

hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?
Hebu tusikilize wanawake wenyewe wanasemaje?
 

Attachments

  • 1649932144205.mp4
    1.7 MB
Hivi mbona mimi huwa siombi ushauri mambo ya mahusiano?? Kwamba Nina mahusiano mazuri sana au nyie wengine mna matatizo pahala!!!!!
Mkuu ni sahihi kabisa.

Mtu unaombaje ushauri wakati mahusiano ni yako.

Mimi bora nilie ndaaani maumivu yaishe kuliko kupeleka ishu zangu kwa mtu alafu baadae anivujishie jambo langu
 
Hii hali huwa imekaaje kwa wakristo.

Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa

- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa

-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.

....

Na hurusiwi ongeza mke.

hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?
Tunapiga maombi na kukemea roho ya uzinzi kwa jina la Yesu mpaka inashindwa na kulegea...
 
Back
Top Bottom