sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
😂😂😂😂 unarudi enzi za sekondariSabuni/lotion itakua msaidizi wako kwa kipindi chote hicho kigumu.
Solder wa wapi wewe umezubaa hivyo?jiongeze kimyakimyaHii hali huwa imekaaje kwa wakristo.
Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa
- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa
-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.
....
Na hurusiwi ongeza mke.
hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?
Hii hali huwa imekaaje kwa wakristo.
Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa
- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa
-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.
....
Na hurusiwi ongeza mke.
hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?
Sasa mke anakunyima makusudi au anakunyima kwa sababu anaumwa ?Hii hali huwa imekaaje kwa wakristo.
Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa
- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa
-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.
....
Na hurusiwi ongeza mke.
hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?
Hebu tusikilize wanawake wenyewe wanasemaje?Hii hali huwa imekaaje kwa wakristo.
Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa
- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa
-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.
....
Na hurusiwi ongeza mke.
hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?
Ijue tofauti kati ya subra na ujinga.Sisi wakristu tuna subra
Kuomba ushauri kwenye mambo ya mahusiano ni ujinga wa hali ya juu sana kama kuwa mwana fisiemuHivi mbona mimi huwa siombi ushauri mambo ya mahusiano?? Kwamba Nina mahusiano mazuri sana au nyie wengine mna matatizo pahala!!!!!
She has a point lakini...Hebu tusikilize wanawake wenyewe wanasemaje?
Mkuu ni sahihi kabisa.Hivi mbona mimi huwa siombi ushauri mambo ya mahusiano?? Kwamba Nina mahusiano mazuri sana au nyie wengine mna matatizo pahala!!!!!
Tunapiga maombi na kukemea roho ya uzinzi kwa jina la Yesu mpaka inashindwa na kulegea...Hii hali huwa imekaaje kwa wakristo.
Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa
- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa
-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.
....
Na hurusiwi ongeza mke.
hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?
Hahahaha! Anasubiria meli AirportIjue tofauti kati ya subra na ujinga.
Akininyima makusudi aisee napiga nyeto mbele yakeHii hali huwa imekaaje kwa wakristo.
Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa
- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa
-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.
....
Na hurusiwi ongeza mke.
hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?