Ukwelinasema
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 454
- 542
Itakua mkuuInaonekana hata hujasoma au hujaelewa nilichokiandika.
Mimi nazuia watu waache michepuko waoe oficially wewe unaniambia niache uzinzi umeona ulivyokurupuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua mkuuInaonekana hata hujasoma au hujaelewa nilichokiandika.
Mimi nazuia watu waache michepuko waoe oficially wewe unaniambia niache uzinzi umeona ulivyokurupuka?
Unaenda kinyume na maandiko......Katika uhalisia hili suala la wanaume kuowa wanawake wengi sizani kama lina maana yoyote nafikiri mtu mwenye IQ kubwa sana kwake kuowa wanawake kibao ni udhaifu flani alionao na ni kujitoa akili ni jambo lisilokuwa na maana yoyote.
Mwanaume mmoja anapaswa kuwa na mwanamke mmoja Mke mmoja anatosha kwenye kila kitu unajua Mwanaume kamili unaejielewa lazima ufikiri mke mmoja anatosha lakini mwanaume ulie dhaifu unae endeshwa na tamaa za mwili na uzinzi huna uthibiti wa uwanaume wako ni dhaifu na una IQ ndogo ndio sababu ya kutaka wanawake wengi.
"mwanaume mmoja mwili mmoja na mwanamke mmoja mwili mmoja" huyu alieanzisha habari za wanawake wengi na wao wanao fuata ni wanaume dhaifu sana.
Yap, mke awe mmoja ila unakuwa na vimichepuko ata viwili, kubadili mboga muhim mkuu.Mwanaume kuwa na mke mmoja changamoto ni pale anapokuwa kwenye siku zake au akiwa amejifungua na ww ukawa na uhitaji ndo hapo unapoona Kwann kuwa na mke zaidi ya mmoja Huwa inasaidia
Sisi tunafuata maandiko yanavyosema hatuishi kwa kumuiga mtu wewe kama anaona kigezo ni kumuiga mtu endelea tu kuiga.Nchi zenye viwango vya juu vya elimu, kipato na utajiri kama UAE na Quatar ndiyo zinaongoza kuwa na idadi ya chini zaidi ya wanaume waliooa mke zaidi ya mmoja, japo sheria zao kama nchi ya kiislamu zinawaruhusu.
Top 5 za nchi wanazooa wanawake wengi zote ziko Afrika, wana dini moja inayoongoza na ni maskini kupitiliza.
Inatafakarisha 🤔
- Burkina Faso: 36%
- Mali: 34%
- Gambia: 30%
- Niger: 29%
- Nigeria: 28%
mbu wa dengue kwani ni nyie waafrika tu ndiyo mna huo uhitaji uliokithiri wa ngono?
nimewauliza hayo maswali wameshindwa kunijibu halafu wanajiita Magenius ila hawajui kuchanganua hoja hao walichokariri ndio hichohichoNakataa, Waislamu wana IQ kubwa sana kuasi cha kujua mke mmoja hatoshi. Hivi wakati mke anajifungua, au ameambiwa wakati wa mimba asifanye sex, wewe mwanaume unajisaidia wapi? Au punyeto?
Kabisa mkuu, vimchepuko navyo vinasaidia mda mwingineYap, mke awe mmoja ila unakuwa na vimichepuko ata viwili, kubadili mboga muhim mkuu.
Rudia tena kusoma reply yangu kwa utulivu, ulichokijibu ni sehemu ya nilichoandika “nchi maskini kuliko zote ndiyo wanaooa wake wengi zaidi, Nigeria ikiwemo kwenye list” na nchi zinazoongoza duniani, zote ziko Afrika.Sisi tunafuata maandiko yanavyosema hatuishi kwa kumuiga mtu wewe kama anaona kigezo ni kumuiga mtu endelea tu kuiga.
Halafu sisi sio maskini kama unavyodhani,hivi unajua wananchi wa Nigeria wanavyoteseka wewe?bahati nzuri nimepata bahati ya kukutana na raia wa nchi zote hizo ulizozitaja hapo nikalinganisha maisha yao sisi tuna unafuu mara 10 zaidi achana na propaganda za kwenye makaratasi.
Hizo nchi ulizozitaja raia wake wanakimbia kila siku kwenda kwenye nchi za watu kwa kufosi kutokana na ugumu wa maisha na wengine wanasafiri kupitia jangwani kule Moroco wanakufa njiani wakielekea ughaibuni kwenye jangwa au kwenye bahari wakipanda mtumbwi.
Tembea ujionee
Usitetee hoja kama limekukaba nyoosha maelezo kuwa nasumbuliwa na tatzo la nguvu za kiume wake wengi siwezupo sahihi ukitumia logic's na facts
ni ubnafsi kujilimbikizia wake
kwa tz ratio ya mwanamk na wanaume ni 1:1 sasa ukioa wake 4 roughly tayari ushaoa wake wa wanaume 3 unategemea hao wanaume waoane wenyewe au vp
AiseeHuna nguvu za kiume wewe,usitafute pakujifichia
wajinga kama nyie ni hasara kwa duniaUsitetee hoja kama limekukaba nyoosha maelezo kuwa nasumbuliwa na tatzo la nguvu za kiume wake wengi siwez
Wewe kwahiyo:-Katika uhalisia hili suala la wanaume kuowa wanawake wengi sizani kama lina maana yoyote nafikiri mtu mwenye IQ kubwa sana kwake kuowa wanawake kibao ni udhaifu flani alionao na ni kujitoa akili ni jambo lisilokuwa na maana yoyote.
Mwanaume mmoja anapaswa kuwa na mwanamke mmoja Mke mmoja anatosha kwenye kila kitu unajua Mwanaume kamili unaejielewa lazima ufikiri mke mmoja anatosha lakini mwanaume ulie dhaifu unae endeshwa na tamaa za mwili na uzinzi huna uthibiti wa uwanaume wako ni dhaifu na una IQ ndogo ndio sababu ya kutaka wanawake wengi.
"mwanaume mmoja mwili mmoja na mwanamke mmoja mwili mmoja" huyu alieanzisha habari za wanawake wengi na wao wanao fuata ni wanaume dhaifu sana.
Umemaliza!Nadhani mwanaume mmoja anatakiwa kuwa na wanawake wawili, mmoja mke wake, na mwingine ni mchepuko, inasaidia mengi sana na mchepuko ajue kuwa umeoa
Waarabu wa wapi hao ambao hawaowi wake wengi?lakini ikumbukwe kwenye maandiko tumeambiwa tuoe wake wengi kama tunawamudu kwa tendo la ndoa na kiuchumi haikusemwa kwamba kila mtu lazima aoe wake wengi,utakuta mwingine hata nguvu za kiume hana anafosi kuoa wake wengi hapo sasa ndipo wanapokiuka na kuwa vurugu.Rudia tena kusoma reply yangu kwa utulivu, ulichokijibu ni sehemu ya nilichoandika “kua, nchi maskini kuliko zote ndiyo wanaooa wake wengi zaidi, Nigeria ikiwemo kwenye list” na nchi zinazoongoza duniani, zote ziko Afrika.
Hata hao waarabu wenye dini yao waliowaleteeni nyie huku hawaoi wake wengi, sasa nyie ndiyo mnaijua zaidi dini au ni chembechembe za umaskini wa kufikiri pia.
Mbona hili linapigwa vita Ila la jinsia moja mnakomaa kuwa ni haki. So na hili liache liwe la haki za binadamu too, acha kuingilia uhuru wa watu , huwezi badilisha nature , swala mwenyewe anatembea ana majike 30 kazi ni kuyagonga na kuyaelekeza malisho mazuri yalipo, hakuna mwanaume asiyependa kula kyuma karibu zote dunia nzima , unadhani ni nani anaweza akakataa nafasi ya mswatiKatika uhalisia hili suala la wanaume kuowa wanawake wengi sizani kama lina maana yoyote nafikiri mtu mwenye IQ kubwa sana kwake kuowa wanawake kibao ni udhaifu flani alionao na ni kujitoa akili ni jambo lisilokuwa na maana yoyote.
Mwanaume mmoja anapaswa kuwa na mwanamke mmoja Mke mmoja anatosha kwenye kila kitu unajua Mwanaume kamili unaejielewa lazima ufikiri mke mmoja anatosha lakini mwanaume ulie dhaifu unae endeshwa na tamaa za mwili na uzinzi huna uthibiti wa uwanaume wako ni dhaifu na una IQ ndogo ndio sababu ya kutaka wanawake wengi.
"mwanaume mmoja mwili mmoja na mwanamke mmoja mwili mmoja" huyu alieanzisha habari za wanawake wengi na wao wanao fuata ni wanaume dhaifu sana.
nani kasema Daudi ana wajukuu weusi? unajua kusoma sawasawa? una uhakika uko timamu ki akili?Acha ujuha wewe, Daudi muisrael toka lini akawa na wajukuu weusi? Kaone wajukuu wa Daudi kule Jerusalem kama utakuta ndugu yako hata mmoja.
mkuu hebu nioneshe sehemu niliyo ongelea mapenzi ya jinsia moja hapo hebu kuwa positive na nilicho kiandika hapo, mimi siungi mkono mapenzi ya jinsia moja pia.Mbona hili linapigwa vita Ila la jinsia moja mnakomaa kuwa ni haki. So na hili liache liwe la haki za binadamu too, acha kuingilia uhuru wa watu , huwezi badilisha nature , swala mwenyewe anatembea ana majike 30 kazi ni kuyagonga na kuyaelekeza malisho mazuri yalipo, hakuna mwanaume asiyependa kula kyuma karibu zote dunia nzima , unadhani ni nani anaweza akakataa nafasi ya
lakini sheria za ndoa zinakatazaNadhani mwanaume mmoja anatakiwa kuwa na wanawake wawili, mmoja mke wake, na mwingine ni mchepuko, inasaidia mengi sana na mchepuko ajue kuwa umeoa