Mwanaume mmoja nchini Nigeria amjeruhi vibaya mkewe baada ya vipimo vya DNA kuonesha kuwa watoto wao watatu sio wa mwanamme huyo

Huyo jamaa bwege tu . Wala asingempiga.
Kuna mfanyakazi mwenzangu aligundua kuwa watoto wote wawili aliozaa na mkewe sio wake.
Alichofanya alimwambia waachane tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tena Jamaa ni Bwege nazi si Bwege peke yake, Mambo ya kupigana pigana ni ushamba sana

Kila nafsi ni nafsi huru na huwezi control maamuzi ya kihisia ya mtu mwingine
 
Mwanamke huyu amefanya jambo baya sana.Hata hivyo mwanamume naye hakutumia hekima na busara kabisa.Hivi kapata faida gani tangible,kwa kumshambulia kiasi hicho mkewe,sana sana atakachopata ni hasara tu ya kwenda jela.Reasonably angeachana naye tu na kutafuta ustarabu mwingine.Mbona wanawake ni wengi,tena wazuri zaidi ya huyu.

Ila dah,jamaa naye shida tupu,yaani jamaa wa nje anachomeka mimba tatu,na wewe wa ndani unayekomaa kila siku unashindwa kuchomeka hata moja!Kuna tatizo kubwa.
 
Kasamehewa sana huyo Dada. Alistahili kupigwa hadi afe mbwa sana huyo
 
Yesu ni Mungu sio mwana falsafa kama wewe.

Una amini Yesu sio Mungu? Thibitisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri kibongo bongo.... Kuna baadhi ya wanaume Tena wanahisi kabisa mtoto huyu sio wangu Ila wanakauka KIBINGWA.
Tunakauka kibingwa kwasababu madhala ya kutokauka ni makubwa na matokeo yake yanaweza yakaruin maisha yetu na ya watoto kabisa ingawa wanaume huwa tunaumia sana kisaikolojia.
Kama hujawahi kufanya ujinga huo usifanye
 
Wanaume wengi mkiambiwa kupima kila kitu kabla hajazaa mnagoma ili kama kuna shida ya kutibiwa ishugurikiwe mnaona nongwa matokeo yake ndiyo hayo na huenda hana hata uwezo wakutungisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kumpa kichapo tu, afu unaachana naye.wanawake wengi ni wajinga siku hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu sio uamuzi wa busara, kwanini uongeze jambo baya katika historia ya maisha yako with something that will haunt you in your entire life?
Cha kwanza usipaniki, Kama ni mtu wa imani kamuone kiongozi wako wako kiroho, pili muone psychologist. Amini nakwambia mkuu wengi huwa tunachukua maamuzi ya haraka tukiamini tuko sahihi na ni njia ya kupunguza machungu but in other way round tunaharibu maisha yetu completely.
Kama nikuachana achana nae kwa ustaarabu ukijua kwanini hiyo hali ilitokea. Utajisikiaje ukijua kuwa alikuwa anakufichia aibu baada ya kuona huna uwezo wa kuzaa na jamii/ndugu wanakuangalia wewe?
Tusikurupuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…