google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Mwanaume wa kweli wala hafundishwi hayo yeye mwenyewe anajua hivi vitu si vyake na hawezi kutumia. Huyo wa kukatazwa tayari ni mchele mchele.1.Kwani veepe
2.Umedamshi
3.Mamito, mammy
3.X=S
4.Sio kwa ku...... huko
5.Msiew (hata sikumbuki linaandikwaje)
6.Inahusu
7.Wacha weeeh
8.Nouma
9.Jomoni
10.Tenaaaaaaaa
11.[emoji1305][emoji1305][emoji1305]haka kaemoji
Pumbavuuuu hii waachieni dada zenu,, Acheni ujinga nyie wavulana mnatutia aibu
Ongeza misemo mingineView attachment 1297937
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio hayo tu hata kuoga kila siku mwanaume haifai inatakiwa mpaka uanze kunuka kama beberu ivi ndio uanaume afu pia mwanaume ni kuwa na boxer moja tu kauaka nkuvaeNa pia mwanaume n mwiko kutoga skio, kutinda nyusi ...kupaka bleach... Kuvaa mlegezo na surual za kubana mapaja....huo sio uanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
1.Kwani veepe
2.Umedamshi
3.Mamito, mammy
3.X=S
4.Sio kwa ku...... huko
5.Msiew (hata sikumbuki linaandikwaje)
6.Inahusu
7.Wacha weeeh
8.Nouma
9.Jomoni
10.Tenaaaaaaaa
11.[emoji1305][emoji1305][emoji1305]haka kaemoji
Pumbavuuuu hii waachieni dada zenu,, Acheni ujinga nyie wavulana mnatutia aibu
Ongeza misemo mingineView attachment 1297937
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume wa kweli wala hafundishwi hayo yeye mwenyewe anajua hivi vitu si vyake na hawezi kutumia. Huyo wa kukatazwa tayari ni mchele mchele.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] jamaa dhrau ujueSio hayo tu hata kuoga kila siku mwanaume haifai inatakiwa mpaka uanze kunuka kama beberu ivi ndio uanaume afu pia mwanaume ni kuwa na boxer moja tu kauaka nkuvae
Awe na nyota *** bi mkubwaMwanaume anakuandikia sms anakwambia usiku mwema dear au baby unblock unafuta na namba kabisa.
Mtu kama huyu kama yuko karibu yako lazima umpandishe cheo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili neno (My) hua nalitumia sana wakati na chat na demu wangu vipi kuna ubaya?
Naomba Namba tisa iwekewe mkazo, wenye tabia kama hii wengi wao hamnazo...
Hili neno (My) hua nalitumia sana wakati na chat na demu wangu vipi kuna ubaya?
Asee nimecheka Sana...yaani unaweza hisi siku imeingia gundu jioni
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Sio hayo tu hata kuoga kila siku mwanaume haifai inatakiwa mpaka uanze kunuka kama beberu ivi ndio uanaume afu pia mwanaume ni kuwa na boxer moja tu kauaka nkuvae
Inakera sanaKuna watu na heshima zao nakutana nao hapa mjini anakusalimia "MAMBO"sijui kwa nn naichukia hii salamu inapotoka kwa mwanaume kwenda kwa mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tangu nipate akili hii kitu sijawahi ifanya hata kama msela akanitumia usiku mwema huwa simjibu kabisa