Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo Uchumi Wa KatiMpira unaanzaje kwa kutanguliwa goals mbili nzima!!!?
MkuuUtajibiwa
Nashauri Atumie Maneno Ya Kamusi Ya TUKIAksante
Halafu naomba uwre na lugha laini
cock blockerKupima afya ni muhimu sana,maana huo umri mtu anakuwa ameingiza mashimo ya kutosha tu.afya iwe kipaumbele cha muhimu sana.
Halafu awe makini ,wengine wataigiza hata mwaka mzima wakipima faida,hasa kama bidada ana vipesa. Atachunwa halafu mtu anapita hivii...
Kitu chengine mapenzi bhana yana natural yake,namna mnakutana,kupendana n.k.sasa hii ya humu inakuwaga haina uhalisia,yaan maigizo lazima yawepo.
Namtakia heri,apate hitaji la moyo wake.
Allah huwa anaongea? Just askingKama kweli upo ktk uhitaji wa mume wa mtandao wa hapa Jamii Forum Baci aanze kwanza kwa "kumsahili Allah" ili apate muongozo na afanyikiwe kupata mume anaemhitaji.
Mambo magumu Kitaa huku hataki kakijana kadogo dogo ka kulea. Kuhusu dini nitabadili.Habari wadau...
Ukisikia bahati Sasa ndio hii. Najua Wapo ambao hawataelewa na kuchukulia utani lakini hili suala Ni serious Sana kutokana na mhusika mwenyewe.
Sifa.
Awe muislam
Miaka kuanzia 40 na kuendelea
Kazi mfanyakazi au mfanyabiashara
Makazi awe anaishi Dar.
Awe hajawahi oa au alioa akatalikiana pia akiwa na watoto ni sawa
Sifa za muhitaji
Rangi ya chungwa na tabasamu bashasha
Watoto 2( Wapo nje ya nchi hakai nao)
Ni mfanyabiashara.
Ni mjane
Mengine njoo pm ili ukutanishwe na mlengwa. Narudia kwa atakayefanikiwa kuelewana na Dada huyu basi ataishukuru JF mpaka mwisho wa maisha yake kwani sasa ataenda kuishi Dunia ya furaha na yenye asali na maziwa.
Ndio anaongea... Kama ww unao imani dhabiti. Na unao nia ya kumomba akutatulie shida zako hapa duniani. Jitahidi uwe mnyenyekevu kwake atakuskiliza na kukupa muongoz wa kupita au kujibu moja kwa moja maombi yako.Allah huwa anaongea? Just asking
Unataka kuolewa sivyo😅😅Mbona anataka Wazee tu kuanzia 40? Chini ya 40 hachukui?
Ndiyo Ukweli WenyeweTatafuta pesa kwa jasho langu
Anaongeaje? Yani anatumia mbinu zipi kuongea na waumini?Ndio anaongea... Kama ww unao imani dhabiti. Na unao nia ya kumomba akutatulie shida zako hapa duniani. Jitahidi uwe mnyenyekevu kwake atakuskiliza na kukupa muongoz wa kupita au kujibu moja kwa moja maombi yako.
Ndio mkuu, huyo anayedalaliwa na precious anayo.Hivi kuna Binadamu mwenye rangi ya Chungwa?