Mwanaume Muislam safi anahitajika

Mwanaume Muislam safi anahitajika

Sis Serengeti Boys vp
Au tutume Maombi Kama unaO mabinti.
 
Huyo Dada anataka mtu serious 40 +
Na yupo serious kweli
Yupo lonely na kwa nature yake ya upole baada ya kufiwa anajikuta lonely na wengi wakijua ana mtu
So nawatoa shaka.
Nina Imani atakayefanikiwa
He will not regret
nimekutumia msg inbo isome unipe mrejesho
 
Mwambie ashuke mpana 30 nipo hapa.
Ukisikia bahati Sasa ndio hii. Najua Wapo ambao hawataelewa na kuchukulia utani lakini hili suala Ni serious Sana kutokana na mhusika mwenyewe.

Sifa.
Awe muislam
Miaka kuanzia 40 na kuendelea
Kazi mfanyakazi au mfanyabiashara
Makazi awe anaishi Dar.
Awe hajawahi oa au alioa akatalikiana pia akiwa na watoto ni sawa

Sifa za muhitaji
Rangi ya chungwa na tabasamu bashasha
Watoto 2( Wapo nje ya nchi hakai nao)
Ni mfanyabiashara.
Ni mjane

Mengine njoo pm ili ukutanishwe na mlengwa. Narudia kwa atakayefanikiwa kuelewana na Dada huyu basi ataishukuru JF mpaka mwisho wa maisha yake kwani sasa ataenda kuishi Dunia ya furaha na yenye asali na maziw
 
Habari wadau...

Ukisikia bahati Sasa ndio hii. Najua Wapo ambao hawataelewa na kuchukulia utani lakini hili suala Ni serious Sana kutokana na mhusika mwenyewe.

Sifa.
Awe muislam
Miaka kuanzia 40 na kuendelea
Kazi mfanyakazi au mfanyabiashara
Makazi awe anaishi Dar.
Awe hajawahi oa au alioa akatalikiana pia akiwa na watoto ni sawa

Sifa za muhitaji
Rangi ya chungwa na tabasamu bashasha
Watoto 2( Wapo nje ya nchi hakai nao)
Ni mfanyabiashara.
Ni mjane

Mengine njoo pm ili ukutanishwe na mlengwa. Narudia kwa atakayefanikiwa kuelewana na Dada huyu basi ataishukuru JF mpaka mwisho wa maisha yake kwani sasa ataenda kuishi Dunia ya furaha na yenye asali na maziwa.

Tuwasiliane tafadhali sana kwa namba yangu 0752414941
 
Mimi nina miaka 38 si imepungua miwili tu hapo! Rangi ya chungwa kama hii vipi?
FB_IMG_16068258004348850.jpg


Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom