Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibaya Zaid huyo mwanamke awe hana mtoto na pesa pia hana, hawa watu nahisi jehanamu wanaiexperince kabla hawajafika kuzimuWanasema maisha huanza 40, muda huo kama kuna vitu havijakaa sawa unaweza kuwa desperate
- Mwanamke 40s asie na mume au/na MTOTO
- Mwanaume 40s ambae kafulia mbaya zaidi hana mtaji wala connections wala ujuzi.
Shida zote shetani! Mungu hahusiki!Aisee,kufulia kusikie tu kwa jirani,kuna wakt unaweza kuhisi Mungu kakufungia vioo
mbaya zaidi uwe mwanaume, hata vikao vya ukoo utavikimbia tuAisee,kufulia kusikie tu kwa jirani,kuna wakt unaweza kuhisi Mungu kakufungia vioo
Kimsingi mtu unapozaliwa unaanza kufa taratibu.Stress zipo tokea mtu anapojitambua
Inatokea mkuu... mambo ni mengi sana.I cannot imagine myself being 40 and broke [emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee,kufulia kusikie tu kwa jirani,kuna wakt unaweza kuhisi Mungu kakufungia vioo
Mimi mbona ni over 40 nimefulia na sina stress?Wanasema maisha huanza 40, muda huo kama kuna vitu havijakaa sawa unaweza kuwa desperate
- Mwanamke 40s asie na mtoto
- Mwanaume 40s ambae kafulia