Mwanaume mwenye aibu...

Mwanaume mwenye aibu...

Huyo jamaa angejua,akimbie Haraka Sana hapo sio sehemu sahihi
 
Nakumbuka Siku Moja Shuleni Head master Alikuwa anatoa Speech Na Shule Nzima (Form 1-6,Na Walimu ) Wapo Kimya Tunamsikiliza ,Katikati Ya Speech Discipline Master Akaenda Kumnong'oneza Kitu Head Master,Kukiwa Kumetulia Kimyaaaa Na Wanaendelea Kunong'onezana ,Nikaropoka Nikasema HATUSIKIIIIIIII!!

Sitasahau Kilichonikuta[emoji28][emoji28]
 
Habari?

Wajameni naombeni msaada wa kimawazo. Kuna mwanaume ambaye anaonyesha dalili zote za kunihitaji kwenye mahusiano lakini hawezi kabisa kutamka kuwa ananihitaji anapokuwa hajanywa pombe.
Anapolewa anaweza kuongea chochote na kuahidi kila kitu. Ila pombe zinapomtoka, atabaki kufanya ishara za kawaida, kupiga simu, kutoka out nk ila Hakuna Jambo la kimahusiano mtakaloweza kuongea. Ukimuuliza hata juu ya plan yenu, atatoa ahadi kwamba mtaongea siku ingine ambapo atategemea akilewa ndipo apige sound.
Binafsi nimeshindwa kuelewa. Ninatafsiri kama mtu muongo ndio maana anatafuta confidence kwenye pombe. Ila angekua anatoa majibu toka moyoni, wala asingepata kigugumizi cha kusubiri kuelewa.
Nimeona mambo yasiwe mengi. Nimeamua aachane na Mimi na hadi sasa ameshindwa kuongea lolote. Ila ikitokea amekunywa, anapiga simu na kuanza kujitetea.
Ndugu zangu, mmewahi kukutana na watu wa aina hii? Na je hiki ninachofikiri Mimi kinaweza kikawa tofauti?
Nawasilisha
Ameanza safari nawe unga mkono jitahada mkamilishe jambo lenu.
 
Habari?

Wajameni naombeni msaada wa kimawazo. Kuna mwanaume ambaye anaonyesha dalili zote za kunihitaji kwenye mahusiano lakini hawezi kabisa kutamka kuwa ananihitaji anapokuwa hajanywa pombe.
Anapolewa anaweza kuongea chochote na kuahidi kila kitu. Ila pombe zinapomtoka, atabaki kufanya ishara za kawaida, kupiga simu, kutoka out nk ila Hakuna Jambo la kimahusiano mtakaloweza kuongea. Ukimuuliza hata juu ya plan yenu, atatoa ahadi kwamba mtaongea siku ingine ambapo atategemea akilewa ndipo apige sound.
Binafsi nimeshindwa kuelewa. Ninatafsiri kama mtu muongo ndio maana anatafuta confidence kwenye pombe. Ila angekua anatoa majibu toka moyoni, wala asingepata kigugumizi cha kusubiri kuelewa.
Nimeona mambo yasiwe mengi. Nimeamua aachane na Mimi na hadi sasa ameshindwa kuongea lolote. Ila ikitokea amekunywa, anapiga simu na kuanza kujitetea.
Ndugu zangu, mmewahi kukutana na watu wa aina hii? Na je hiki ninachofikiri Mimi kinaweza kikawa tofauti?
Nawasilisha
Msaidie kumtongoza kama kweli unampenda maana sisi wanaume ni dhaifu sana kwa wanawake na ni simple sana mwanamke kutuweka kitanzini , hakikisha unambananisha akiwa mzima ila tuu usimuharibie uvulana wake tuu kama wewe ni mpitaji,
 
Habari?

Wajameni naombeni msaada wa kimawazo. Kuna mwanaume ambaye anaonyesha dalili zote za kunihitaji kwenye mahusiano lakini hawezi kabisa kutamka kuwa ananihitaji anapokuwa hajanywa pombe.
Anapolewa anaweza kuongea chochote na kuahidi kila kitu. Ila pombe zinapomtoka, atabaki kufanya ishara za kawaida, kupiga simu, kutoka out nk ila Hakuna Jambo la kimahusiano mtakaloweza kuongea. Ukimuuliza hata juu ya plan yenu, atatoa ahadi kwamba mtaongea siku ingine ambapo atategemea akilewa ndipo apige sound.
Binafsi nimeshindwa kuelewa. Ninatafsiri kama mtu muongo ndio maana anatafuta confidence kwenye pombe. Ila angekua anatoa majibu toka moyoni, wala asingepata kigugumizi cha kusubiri kuelewa.
Nimeona mambo yasiwe mengi. Nimeamua aachane na Mimi na hadi sasa ameshindwa kuongea lolote. Ila ikitokea amekunywa, anapiga simu na kuanza kujitetea.
Ndugu zangu, mmewahi kukutana na watu wa aina hii? Na je hiki ninachofikiri Mimi kinaweza kikawa tofauti?
Nawasilisha
Kama wewe ulikuwa unampenda si ungemtongoza tu?
 
Nilishawahi kuletewa demu nikiwa kidato cha nne na marafiki zake tena wakaniambia huyo anataka dudu.Gheto limesafishwa ,mashuka safi ,hakuna mtu.Kufika katoto kakajitupa kwenye kitanda paja nje nje.Mi nikabaki nimeganda kwenye kiti.Nilivyofala nikaishia kukauliza eti ule mpango vipi? toka saa 6 mchana mpaka saa 12 sijaongea kitu kingine.Kakaperuka kama kindege.
Miaka imepita.
Screenshot_20240103-224517.jpg
 
Nilishawahi kuletewa demu nikiwa kidato cha nne na marafiki zake tena wakaniambia huyo anataka dudu.Gheto limesafishwa ,mashuka safi ,hakuna mtu.Kufika katoto kakajitupa kwenye kitanda paja nje nje.Mi nikabaki nimeganda kwenye kiti.Nilivyofala nikaishia kukauliza eti ule mpango vipi? toka saa 6 mchana mpaka saa 12 sijaongea kitu kingine.Kakaperuka kama kindege.
Miaka imepita.View attachment 2861243
Pole sana
 
Habari?

Wajameni naombeni msaada wa kimawazo. Kuna mwanaume ambaye anaonyesha dalili zote za kunihitaji kwenye mahusiano lakini hawezi kabisa kutamka kuwa ananihitaji anapokuwa hajanywa pombe.
Anapolewa anaweza kuongea chochote na kuahidi kila kitu. Ila pombe zinapomtoka, atabaki kufanya ishara za kawaida, kupiga simu, kutoka out nk ila Hakuna Jambo la kimahusiano mtakaloweza kuongea. Ukimuuliza hata juu ya plan yenu, atatoa ahadi kwamba mtaongea siku ingine ambapo atategemea akilewa ndipo apige sound.
Binafsi nimeshindwa kuelewa. Ninatafsiri kama mtu muongo ndio maana anatafuta confidence kwenye pombe. Ila angekua anatoa majibu toka moyoni, wala asingepata kigugumizi cha kusubiri kuelewa.
Nimeona mambo yasiwe mengi. Nimeamua aachane na Mimi na hadi sasa ameshindwa kuongea lolote. Ila ikitokea amekunywa, anapiga simu na kuanza kujitetea.
Ndugu zangu, mmewahi kukutana na watu wa aina hii? Na je hiki ninachofikiri Mimi kinaweza kikawa tofauti?
Nawasilisha
Embu mrahisishue kazi huyo domo zege kama nawe umemuelewa.
 
Sio kweli. Hao wengi wao ni wale walioluka stage wakati wa kubalehe yaani yale mambo aliyotakiwa kuyafanya hatua za o-level kama kuzoeana na wanawake aliyaluka sasa ndo anakuja kuwa mtu mzima bado muoga wa wanawake hao watu wapo sana sana waliokulia shuleni za bweni za boyz tupu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo mtu wakat wa kubalehe inatakiwa azoeane na jinsia tofaut na yake?
 
Nakumbuka kuna demu aliniomba nimsindikize disco nikamlipie, tukaenda muda huo nikampigia jamaa mmoja aniachie chumba lodge tukitoka disco tukalale ili nimkaze

Tukacheza disco mpaka saa 9 hivi nikamwambia tukapumzike akakubali tukaenda lodge, kimbembe kikaja akagoma kumkaza, akawa anasema "Muda huo wote tumekuwa pamoja mchana mpaka kwenye disco hukuniambia,sasa hivi ndo unataka kunitomb*** bila kunitongoza awali hilo halitawezekana

Nilivyojaribu kumlazimisha alilia machozi ikabidi nimuache tukalala mpaka asbh bila kufanya chochote,niliumia kuharibu hela yangu ya kulala lodge

Asubuhi demu ananiambia sasa hela uliyokuja kulipa humu si bora tungeenda nyumbani,kila mtu alale kwao dah iliuma sana
 
Nakumbuka Siku Moja Shuleni Head master Alikuwa anatoa Speech Na Shule Nzima (Form 1-6,Na Walimu ) Wapo Kimya Tunamsikiliza ,Katikati Ya Speech Discipline Master Akaenda Kumnong'oneza Kitu Head Master,Kukiwa Kumetulia Kimyaaaa Na Wanaendelea Kunong'onezana ,Nikaropoka Nikasema HATUSIKIIIIIIII!!

Sitasahau Kilichonikuta[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuajee, malizia story
 
Nilishawahi kuletewa demu nikiwa kidato cha nne na marafiki zake tena wakaniambia huyo anataka dudu.Gheto limesafishwa ,mashuka safi ,hakuna mtu.Kufika katoto kakajitupa kwenye kitanda paja nje nje.Mi nikabaki nimeganda kwenye kiti.Nilivyofala nikaishia kukauliza eti ule mpango vipi? toka saa 6 mchana mpaka saa 12 sijaongea kitu kingine.Kakaperuka kama kindege.
Miaka imepita.View attachment 2861243
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna mambo, woiiii
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Habari?

Wajameni naombeni msaada wa kimawazo. Kuna mwanaume ambaye anaonyesha dalili zote za kunihitaji kwenye mahusiano lakini hawezi kabisa kutamka kuwa ananihitaji anapokuwa hajanywa pombe.
Anapolewa anaweza kuongea chochote na kuahidi kila kitu. Ila pombe zinapomtoka, atabaki kufanya ishara za kawaida, kupiga simu, kutoka out nk ila Hakuna Jambo la kimahusiano mtakaloweza kuongea. Ukimuuliza hata juu ya plan yenu, atatoa ahadi kwamba mtaongea siku ingine ambapo atategemea akilewa ndipo apige sound.
Binafsi nimeshindwa kuelewa. Ninatafsiri kama mtu muongo ndio maana anatafuta confidence kwenye pombe. Ila angekua anatoa majibu toka moyoni, wala asingepata kigugumizi cha kusubiri kuelewa.
Nimeona mambo yasiwe mengi. Nimeamua aachane na Mimi na hadi sasa ameshindwa kuongea lolote. Ila ikitokea amekunywa, anapiga simu na kuanza kujitetea.
Ndugu zangu, mmewahi kukutana na watu wa aina hii? Na je hiki ninachofikiri Mimi kinaweza kikawa tofauti?
Nawasilisha
Pombe ni rafiki mzuri yale tusiyoyaweza uwa yuko tayari kusimama badala yetu .

Nakupenda rafiki.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
  • Nzuri
Reactions: EEX
Back
Top Bottom