Mwanaume mwenye wivu unaishi naye vipi?

Mwanaume mwenye wivu unaishi naye vipi?

najaribu kujibu hiyo 👆

mpe papuchi bila masharti.
Usimuombe pesa(aka mizinga)simu isiharibike ghafla,nywele zisifumuke ghafla,usidaiwe kid ya nyumba ghafla..na mengine yafananayo na hayo.

Inasemekana lakini
Ndiyo hivo kabisa.
 
Back
Top Bottom