Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
🤪🤪🤪🤪🤫🤫🤫🤫Apo kwenye nayaweza hasa kwa vitendo ndo shida,na sio akutiaye nguvu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤪🤪🤪🤪🤫🤫🤫🤫Apo kwenye nayaweza hasa kwa vitendo ndo shida,na sio akutiaye nguvu.
Sikumbuki hata mara ya mwisho kuwa Kwenye mahusiano ni lini.
Hivi kwanza hayo mahusiano yanahusiana na nini habu nijuze
Wrong quote 🥂🥂🥂🥂Ni wapi nimetaja neno 'mahusiano' hapo!
Ndiyo hivo kabisa.najaribu kujibu hiyo 👆
mpe papuchi bila masharti.
Usimuombe pesa(aka mizinga)simu isiharibike ghafla,nywele zisifumuke ghafla,usidaiwe kid ya nyumba ghafla..na mengine yafananayo na hayo.
Inasemekana lakini
Sawa....Yote kwa pamoja
😅😅😅😅wacha bhanaNidindikize tu mzee baba kwa chokorii sina matata tena.
🥂Sawa....
HivyooooooNdiyo hivo kabisa.
Aiseee 😍najaribu kujibu hiyo 👆
mpe papuchi bila masharti.
Usimuombe pesa(aka mizinga)simu isiharibike ghafla,nywele zisifumuke ghafla,usidaiwe kid ya nyumba ghafla..na mengine yafananayo na hayo.
Inasemekana lakini
Wala hamna aliyekua kanikamataNaona umeachiwa sasa..haya hujambo.
Naomba unionee wivu tasavali
Naona umejibu kitu kimoja..haya malizia na hayo mawili hapo kwanzaWala hamna aliyekua kanikamata
Lips unasalimiwa na huyu mwamba hapa jeiefuAiseee 😍
Hebu zisalimie lips zako kidogo 😊
Safiii 😄Lips unasalimiwa na huyu mwamba hapa jeiefu
Waambiwe watulie nipo na beki tatu wangu tunayajenga...😂Kaka sijafanya kitu mimi jamani🙆♀️🙆♀️
Mwezi mmoja na anataka kunioa but sina uhakika wala siweki akilini kwasababu naogopa dissapointmentMh ameanza mapenzi ukubwani? Uhusiano wenu una muda gani?
[emoji16][emoji16][emoji16]Kiumbe wa namna hyo bado wapo kweli duniani??
Naam wanaume tunatafasiri heshima tunayo pewa na mwanamke kuwa ndio upendo yaani tuko hivyoIli mwanaume akupende onesha heshima kwake