Hahah haya ndio maelekezo sahihi, kuna kenge uchi haitoi ila inategemea kuvuna hela za saluni na nguo sasa unajiuliza imenionaje hii pimbi? Yani nihudumie bila kupiga mbichi asalalaa!najaribu kujibu hiyo π
mpe papuchi bila masharti.
Usimuombe pesa(aka mizinga)simu isiharibike ghafla,nywele zisifumuke ghafla,usidaiwe kid ya nyumba ghafla..na mengine yafananayo na hayo.
Inasemekana lakini
Wivu mmbaya jamani ulinitesa sana yani sema tu mazingira ya wivu yanatokana na mtu uliyepo nae. Kama mapepe flani lazma utashikwa na wivu tu hasa kama unampenda vizuri.Huo wivu ,umefikia hatua gan??
Kundi A..
1-Anashika simu yako ila haongei zaidi ya kujikoosha kama Mtanzania aliyekua anajisaidia chooo che pazia tu kisha akasikia mtu anakuja choon!!
2--Kila mara anashika simu yako na anakuuliza maswali ,mara hii namba yanan?? Mbona imekupigia sanaa??nani amekuambia Mambo???
3--Anashika, anakuuliza na anakupa kipondo kama mbwa koko ???
Kundi B
1--Ana kupa muda wa kutoka na Kurudi nyumban
2--Unatoka kwaajili ya kazi ila kila muda anakupigia simu na video
3--Unatoka ila ole wako akukite umesimama njian na Jamaa
4---Hutoki kabisaa yaan nakazi kakuachisha
5--Hutoki yaan hata kwa mashost huendi, hata kwa ndugu huendi. Yaaan hadi kwa wazazi wako kapiga pini.
Suluhisho
1--Kama anadalili moja ya kundi A na hana hata moja ya kundi B au anayo Moja .,.,.... Ongea naye kiutu uzima.
2--Kama anazo mbili za Kundi A na moja ya kundi B..... Anza kua makini
3--kama anazaidi ya mbili za kundi A nambili za kundi B....... Anza harakati za kuachana na huyo Mbwa , Nikwamba yeye anagonga wa wengine. Ila hataki kugongewa, kwa mantiki iyo kuna siku MTAJIPA KESI.
Huu ndio muarobaini wa tatizo. Na mwanamke akijua una wivu atakutesa kinoma maana huwa wanainjoy unavyohaha. Mnaweza achana kabisa.1:Usimsaliti
2:Tengeneza mazingira akuamini sana
3:Mjali
Hahahahah hao wateja mpe yeye πHanipigi ila ananuna mno
Hataki hata niwe nawasiliana na wateja wangu especially wakiume hata mchana yani
Onyesha heshima kwake, na pia uwe mtu mzuri sana katika mawasiliano. Kama unaenda mahali, umwambie kabisa ni wapi. Kama kuna mwanaume atakuwepo hapo unapoenda labda kukutana kikazi nk, alijue hilo pia na umwambie majina au jila la mwanaume huyo na sababu ya kukutana. Mawasiliano ni heshima kubwa. Na itafanya asiwe anawaza waza sana.Habari.
Uzi huo unajieleza nipendi mbinu za kuishi na mwanaume mwenye wivu na pia ni jinsi gani utamfanyia mwanaume wako ili azidi kukupenda?
Ni kweli kabisa, wivu huanziaga kwenye trust issues tu! Yani pakiwa pana tatizo tu la uaminifu jua wivu ndio huchipukia hapo sasa. Hali huwa mbaya kama wewe mwenye wivu ni muaminifu sana na unamthamini zaidi mwenzio.wanaume wenye wivu hupenda mwanamke muwazi asietengeneza mazingira tata kwenye mahusiano/ndoa, mweke wazi jambo lolote unalohisi usipomwambia then akalijua litaleta utata na kupelekea ugomvi
Yah kinacholeta wivu ni breach of trust. Yani iko hivyo, unamuamini mtu kumbe sio anafanya mambo ya ajabu behind your back. Ukisanuka tu wivu lazma uwe debe.Onyesha heshima kwake, na pia uwe mtu mzuri sana katika mawasiliano. Kama unaenda mahali, umwambie kabisa ni wapi. Kama kuna mwanaume atakuwepo hapo unapoenda labda kukutana kikazi nk, alijue hilo pia na umwambie majina au jila la mwanaume huyo na sababu ya kukutana. Mawasiliano ni heshima kubwa. Na itafanya asiwe anawaza waza sana.
Insecurities zinakuja when there is breach of trust.Wivu ni insecurities..
Na awe muwazi katika mawasilianoMheshimu na umjali..(hapo Kwenye kukupenda)
Mwanaume ni lazima aheshimiwe aise hiyo haipingiki.
Sasa huyu mleta mada anataka yeye mwanamke ndo ampende mwanaume we ulisikia wapi.
Mwanamke ukimtii mume wako ni lazima akupende haijawahi kuepukika.
Hayo mengine Yanayotokea ni katika hali ya binadamu na hayaepukiki
hapana wivu sio upendo ni hali ya kutokujiamin upendo ni kindly while wivu ni hashly na insecurity
ni sawa na mtu akipatwa na tatizo,wengine huchukua hatua ya kuongea kila mahali akihisi atapata msaada na mwingine anapambana nayo kimya kimya akiamini atapata suluhu siku moja, na wengi mtakubaliana na mm kwamba sio kila tatizo ni la kuongea kila mahali, uenda angetuliza akili yake angepata suluhu which is kindly
tutafute pesa ndugu zangu haya mambo ya kua na wivu kupitiliza yanakukosesha fursa
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Hapa umemaliza, maana mie ni muhanga wa ugonjwa wa wivu ila mara zote nilipojawa na hisia za wivu ni pale nilipoona mwanamke niliye naye nampenda na kumjali ila beki hazikabi πππππKuna wivu wa aina mbili
Wa kwanza ni wa asili
Wa pili ni akikupima anaona kbs unat*mbeka vzr tu ukipata mjanja mwingine yaani anakuona una shobo shobo nyingi kitu ambacho wanaume wengi hawapendi...
Tiba
Mwenye wivu wa asili yakupasa kumshirikisha A-Z steps zako hii itampunguzia doubts.Baada ya mda atapunguza automatic.
Wa pili huyo,dawa ni upunguze shobo uache kuwa na mapepe mengi Au ACHANA NAE km huwezi badilika.
Hapa umemaliza, maana mie ni muhanga wa ugonjwa wa wivu ila mara zote nilipojawa na hisia za wivu ni pale nilipoona mwanamke niliye naye nampenda na kumjali ila beki hazikabi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani unaona kabisa bila kuwa linesman soon mtoto analiwa kwahio unaanza kum monitor kila step maana ameonesha hawezi kujisimamia kama mke wa mtu. Yeye akitongozwa anatoa ushirikiano kitu ambacho sicho yani...Mwanamke mzuri ni yule ambae ana misimamo thabiti na haachi goli wazi ili wadau wajishindie tu wanavyotaka.
Suluhu ni uwazi, heshima na utiifu. Mwanaume anapata wivu akipenda malaya ila sio kwa mwanamke anaejitambua akipendwa kwa dhati. Janamke linajirahisisha halafu linashangaa kidume ukiwa na wivu...kazi kushoboka tu.
πππ₯π₯Uko sawa kabisa.
Hivi heshima na utii wa mke kwa mumewe ni lazima sana. Hakuna namna ingine zaidi ya kupendwa tu.
Kinginecho ni uwazi, hii ndio dawa ya kutibu wivu! Ukiona patner wako ana wivu basi jua hujamfanya kuwa comfortable enough akaku trust! Inshort:
Wivu= Sikuamini
π π unavyopenda mada za kuchakata papuchi bila hela sasaπππππππHahah haya ndio maelekezo sahihi, kuna kenge uchi haitoi ila inategemea kuvuna hela za saluni na nguo sasa unajiuliza imenionaje hii pimbi? Yani nihudumie bila kupiga mbichi asalalaa!
Kwani we unapenda hela bila kuchakatwa, hayo mambo yanapatikana ulaya tu.π π unavyopenda mada za kuchakata papuchi bila hela sasaπππππππ
Kwani we unapenda hela bila kuchakatwa, hayo mambo yanapatikana ulaya tu.
Ni kweli kabisa. Ukimheshimu Mwanamume Ni kwa faida yako wewe Mwanamke. Tupunguze ujuaji.... !!! Mapenzi Matamu Jamani. Kupendwa Rahaaaaaaπ Napendwa Mieeeeππππ
Tuache utani na masihara pembeni.
Mwanaume ukimheshimu,vitu vingi tutafaidi kutoka kwao
Kanuni ni ile ile...Ukitaka kula sharti ukubali kuliwa! Sasa we unataka kula bila kuliwa? Haiwezekani!~ J. KikweteWeee nisipende fweza Nina matatizo gani kwani.
Kupewa pesa ndipo uchakatwe huko ni kufanya biashara sijui unaelewa basta!
Sisi hapa tunazungumzia mapenzi ujueππππππ