Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Kweli hisia hazifichiki kabisa.
Hapa mwamaume mwenzetu kweli kakosea sana.
Hapa mwamaume mwenzetu kweli kakosea sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah mkuuDon't overdo it
Kifuatacho😏
Huo ndio mshahara wa kuwa a weak man 🐼Unataka kusema wacha wapigwe matukio?
NImekuelewa kumbe mwamba yuko sahihi😅😅🤣Huo ndio mshahara wa kuwa a weak man 🐼
Hawa haakukaa na baba zao mda mwingi, kakosea sana.Huo ujasiri wa kukumbatia wadada..katika mazingira hayo kwa sekunde zote hizo baadhi ya wanaume wanautoa wapi?? Watu mnagandana kabisa.....
Wewe naona kabsaa ile mnatoka tu unaenda kuomba talaka before yaleee.Daaaa! Mimi moyo umeripuka huku utadhani mimi ndo Bibi harusi
Huyo mdogo wake au ndio ma eey be beey!!!
Kwanza sikiliza hio song ya shania twain then angalia reactions ya wife wake🤣🤣🤣Huyo mdogo wake au ndio ma eey be beey!!!
Wife kafyuum kinoma😂Kwanza sikiliza hio song ya shania twain then angalia reactions ya wife wake🤣🤣🤣
Huenda bi harusi alimkuta huyo mwingne🤣Wale wenye macho ya VAR after checking tumuona mambo matatu
•Kwanza tumeliona pochi [ jamaa anazo ]
•bibi harusi hizo sifa zilizosemwa hapo anazo asilimia 100
•pia huyu aliyevaa nguo nyekundu ndiye atavunja ndoa
Usioe mke wa mtu wala ke asiolewe na mume wa mtu 🤣🤣Wife kafyuum kinoma😂
ukiona bodyguard kapigwa mtama hujue boss kimbiaHuenda bi harusi alimkuta huyo mwingne🤣