Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,601
- 2,354
Duh alizidisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh alizidisha sana
Ila sisi wanaume sometimes tunazingua aisee, jeuri ya helaa.Picha ndio kwanza linaanza
Masikini dah nmemuonea huruma bi harusi, jamaa falah hilo 😁
🤣🤣🤣🤣 jamani jamani!!
Ndoa imeshakufa hapo.🤣Masikini dah nmemuonea huruma bi harusi, jamaa falah hilo 😁
😃😃😃Wale wenye macho ya VAR after checking tumuona mambo matatu
•Kwanza tumeliona pochi [ jamaa anazo ]
•bibi harusi hizo sifa zilizosemwa hapo anazo asilimia 100
•pia huyu aliyevaa nguo nyekundu ndiye atavunja ndoa
Kafanya ushamba sana alafu dj nae akagongelea msumari na nyimbo kaliIla sisi wanaume sometimes tunazingua aisee, jeuri ya helaa.
Mkuu nimeona aibu sana, nilimtafakari sana jamaa, hata kuhisi anamuumiza bidada hapo.Kafanya ushamba sana alafu dj nae akagongelea msumari na nyimbo kali
Jamaa bado ana utotoMkuu nimeona aibu sana, nilimtafakari sana jamaa, hata kuhisi anamuumiza bidada hapo.
Hata kama nisingeomba ila mnuno wake ungekuwa wa kimataifa. Hadi wangekuja kunibembeleza na huyo Mshangazi wake 😜😜Wewe naona kabsaa ile mnatoka tu unaenda kuomba talaka before yaleee.
Haha wangekuja kinafiki ilaHata kama nisingeomba ila mnuno wake ungekuwa wa kimataifa. Hadi wangekuja kunibembeleza na huyo Mshangazi wake 😜😜
Hapo nishajua sasa mimi wanidekeze tu na mizawadi ila wao waendelee tu 😅😅😅😅😅😅😅 ila itabidi na mimi nitafute kipozeo 😅Haha wangekuja kinafiki ila
Mishe mishe zao watabaki wazazipiga kwa bila kujua.
Hio ndoa muvunje sasaHapo nishajua sasa mimi wanidekeze tu na mizawadi ila wao waendelee tu 😅😅😅😅😅😅😅 ila itabidi na mimi nitafute kipozeo 😅
Wadada kama Latifa ni sumu kwenye ndoa 😅😅anawapelekesha wote wawili kwa wakati mmoja 😅😅😅😅sasa Dawa yao ni kujifanya hujui.Hio ndoa muvunje sasa
Mnakomoana au😅 haya mambo ya kuoa/ kuolewa... mke/mme wa mtu ndio matatizo haya yanatokea.