Mwanaume mwenzetu katu aibisha hapa, ingawa hisia hazifichiki ila kakosea sana

Mwanaume mwenzetu katu aibisha hapa, ingawa hisia hazifichiki ila kakosea sana

Hii tukileta na ile ya msukuma inakuwa inasoma bilabila!, tunasubiri tena kabla ya dakika tisini matokeo yatakuwa hivihivi ama ubao utangeza namba kiumeni ama kikeni.
 
Wife kafyuum kinoma😂
Ila jamaa anajua kuchagua pisi, au ni make up za bi harusi zimenichanganya, biharusi naona ana hips na chura ipo, hata aliekumbatiwa nae ana chura

Kujumlisha na kutoa unaeza Kuta bwana harusi anapenda wadada wenye makalio, na inasemekana wanaume wanaopenda wanawake wenye makalio makubwa, wengi ni mamende, hivyo unaeza Kuta bwana harusi ni mende, oooohshh Extrovert mzabzab Mzee wa kupambania BRAZA CHOGO
 
Ila jamaa anajua kuchagua pisi, au ni make up za bi harusi zimenichanganya, biharusi naona ana hips na chura ipo, hata aliekumbatiwa nae ana chura

Kujumlisha na kutoa unaeza Kuta bwana harusi anapenda wadada wenye makalio, na inasemekana wanaume wanaopenda wanawake wenye makalio makubwa, wengi ni mamende, hivyo unaeza Kuta bwana harusi ni mende, oooohshh Extrovert mzabzab Mzee wa kupambania BRAZA CHOGO
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwahio huenda mwamba ni Baltazar Engonga wa mwendokasi
 
Mwee nimerudia mara nne bado kichwa changu cha panzi kimeshindwa ng'amua mambo.
Kwani huyo wa red ni nani?
Unawaza mbususu tu 🤣
Iv unaweza mfanyia wife wako ivyo kwa kumwitia ex wako na full ma emotions.
 
Unawaza mbususu tu 🤣
Iv unaweza mfanyia wife wako ivyo kwa kumwitia ex wako na full ma emotions.
Duh hatari kumbe huyo ex wake wanakumbatiana mbele ya wife.
Duh...ila safi tuu wanawake hawa kenge kabisa ni kuwapiga matukio kama hayo kuonyesha who is the man
 
Back
Top Bottom