Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
ππππWee fala tu
Siwezi enda hiyo itakuwa dharau mara4 kama na wife akisikiauko tu in
Upo tu insecure tu bro!!
kwaiyo isingekua mkeo kusikia unatolewa out usinge jaliβ¦β¦
Atajwe huyo msaniiπππDiddy ni mchafu kweli kweli kapita na wasanii wakiume wengi sana aisee naskia hata hapa bongo kuna mwanamuziki alienda kwenye party za diddy na akasema kwa mdomo wake kwamba walifanya mambo ambayo hawezi kuyataja hadharani.
Hujakosea acha nibaki na ushamba wangu aseeMwanaume akizungumza ivooo kuna kanamna.
Anataka ukamgeuze naye akugeuze.Hujakosea acha nibaki na ushamba wangu asee
Ni kweli waarabu Wana tabia hiyo, mbona watu wa kuswali sanaUnashangaa nini wakati jamaa yako alikuwa uarabuni chimbo la wazibua mitaro?
Hahah, nilishtushwa na mtindo wao wa maisha Mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu mtakufa mmechokaa ujue. Khaaah
Mwanangu ungeuponzaHeri kwenu ninyi nyote mabibi, mashangazi na mabwana!
Hii tabia naiona imenifanya niwe na wasiwasi na rafiki yangu. Labda pengine ni hisia zangu na mawazo yangu.
Kisa kipo Hivi
Jamaa tulikuwa tunafanya nae kazi mgodiΓ na Mimi ndo nilkuwa trainer wake upande wa machine za drilling (uchorogaji)
Basi akajua kazi vizuri maana nilimpa madini yote na sikuwahi mbania kumpa machine bidii yake ndo ilimfanya ajue mapema japo yeye ni mkubwa ananizid miaka3 mbele.
Baada ya kujua basi yeye alifanikiwa kwenda nje na kwakweli hajawahi nisahau!
Yupo nje nchi za kiarabu huko ndo anapiga kazi.
Sasa amerudi mapumziko hivi karibuni. Tumekuwa tukipiga story kadhaa wa kadhaa kama kawaida sie ma men kuambiana fala, mseng* ni kawaida tu.
Wala sio kwamba umekasirka la hasha neno kama qumamae una liwa nk Huwa tunatumia bila mipka tukiwa wenyewe.
Shida kubwa ni hili neno analo niambia weekend hii anitoe out. Tena anasisitiza kabisa.
Nimemwambia mimi sie demu wala mwanamke lakini bado anasema siku hizi hata wanaume wanatolewa out kama kawaida.
Nimemwambia sihitaji hiyo out yake ni nikamwambia waarabu wamekuharibu fala wewe.
Naona kachukia baada ya kumwambia hivyo namimi sina shida ya out yake.
Nimewaza sana imagine wife asikie naambiwa au nimuage kuwa rafiki yangu ananitoa out week hii asee naamini nitazaralika sana.
Kwenu wadau ni Sasa?
Picha haiusiani na kilichoandikwa ni makanisa yalipo underground sehemu fulani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko ukawaza wana date? Kwann usiwaze ni marafiki walioshibana?Hahah, nilishtushwa na mtindo wao wa maisha Mkuu.
Wange share spirit sio wine au basi wangenunua hata bia kila mtu ya kwake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko ukawaza wana date? Kwann usiwaze ni marafiki walioshibana?
Haiko sawa kwako wee! Sio kwa wenginee.Wange share spirit sio wine au basi wangenunua hata bia kila mtu ya kwake.
Wine!!, kabisa wanaume wawili wana-share, hii naona haiko sawa kwakweli.
Wanaume huwa tuna kauli zetuHeri kwenu ninyi nyote mabibi, mashangazi na mabwana!
Hii tabia naiona imenifanya niwe na wasiwasi na rafiki yangu. Labda pengine ni hisia zangu na mawazo yangu.
Kisa kipo Hivi
Jamaa tulikuwa tunafanya nae kazi mgodiΓ na Mimi ndo nilkuwa trainer wake upande wa machine za drilling (uchorogaji)
Basi akajua kazi vizuri maana nilimpa madini yote na sikuwahi mbania kumpa machine bidii yake ndo ilimfanya ajue mapema japo yeye ni mkubwa ananizid miaka3 mbele.
Baada ya kujua basi yeye alifanikiwa kwenda nje na kwakweli hajawahi nisahau!
Yupo nje nchi za kiarabu huko ndo anapiga kazi.
Sasa amerudi mapumziko hivi karibuni. Tumekuwa tukipiga story kadhaa wa kadhaa kama kawaida sie ma men kuambiana fala, mseng* ni kawaida tu.
Wala sio kwamba umekasirka la hasha neno kama qumamae una liwa nk Huwa tunatumia bila mipka tukiwa wenyewe.
Shida kubwa ni hili neno analo niambia weekend hii anitoe out. Tena anasisitiza kabisa.
Nimemwambia mimi sie demu wala mwanamke lakini bado anasema siku hizi hata wanaume wanatolewa out kama kawaida.
Nimemwambia sihitaji hiyo out yake ni nikamwambia waarabu wamekuharibu fala wewe.
Naona kachukia baada ya kumwambia hivyo namimi sina shida ya out yake.
Nimewaza sana imagine wife asikie naambiwa au nimuage kuwa rafiki yangu ananitoa out week hii asee naamini nitazaralika sana.
Kwenu wadau ni Sasa?
Picha haiusiani na kilichoandikwa ni makanisa yalipo underground sehemu fulani.
Ndo hivyo kabisa. Mfano huku tushazoea kusema oyaah weekend hii tunaenda kuturirisha maji sehem fln au kiwanja kile. Ama Bata. Ukisema hivo hata shati nalivaa huku natembea kuelekea site mbio mbioWanaume huwa tuna kauli zetu
Oyaa wanangu twendeni tukale bata weekend hii mahali fulani
Kama hivyo. . .
Oya ninja weekend hii tugumiane maeneo tukate maji, kama hivyo
Yupo nje nchi za kiarabu huko ndo anapiga kazi.
Sasa amerudi mapumziko hivi karibuni.
Shida kubwa ni hili neno analo niambia weekend hii anitoe out
anasema siku hizi hata wanaume wanatolewa out
tulia utolewe dinner na beste wakoMgodini tuna lugha chafu kwakweli lkn tangu nifanye kazi mgodini kama mnatoka viwanja Kuna lugha Huwa tunatumia mkuu mfano weekend hii itasomea mwanza mazee au vipi mwingine atasema tukuwa kahama pale club ama bar Ile Kuna Watoto wakali& mishangazi nk lakini hii yakuambiwa kunitoa out sijawahi kabisa hata yeye kipindi chote akiwa hapa bongo tulikuwa tunaenda viwanja nae out ni mademu tu
Ila ni kweli, wanaume wa skotland wanavaa visketi na wanaheshimika πHaiko sawa kwako wee! Sio kwa wenginee.
Hata wee kuna unavyoona ni sawa, ila kwa wengine sio sawa.
C unajua tumetofautianaa bwasheeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa je hapoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila ni kweli, wanaume wa skotland wanavaa visketi na wanaheshimika [emoji23]