Mwanaume mwenzio kukwambia weekend hii nikutoe out ni sahihi?

Mwanaume mwenzio kukwambia weekend hii nikutoe out ni sahihi?

Diddy ni mchafu kweli kweli kapita na wasanii wakiume wengi sana aisee naskia hata hapa bongo kuna mwanamuziki alienda kwenye party za diddy na akasema kwa mdomo wake kwamba walifanya mambo ambayo hawezi kuyataja hadharani.
Atajwe huyo msanii😂😂😂
 
Heri kwenu ninyi nyote mabibi, mashangazi na mabwana!

Hii tabia naiona imenifanya niwe na wasiwasi na rafiki yangu. Labda pengine ni hisia zangu na mawazo yangu.

Kisa kipo Hivi

Jamaa tulikuwa tunafanya nae kazi mgodi× na Mimi ndo nilkuwa trainer wake upande wa machine za drilling (uchorogaji)

Basi akajua kazi vizuri maana nilimpa madini yote na sikuwahi mbania kumpa machine bidii yake ndo ilimfanya ajue mapema japo yeye ni mkubwa ananizid miaka3 mbele.

Baada ya kujua basi yeye alifanikiwa kwenda nje na kwakweli hajawahi nisahau!

Yupo nje nchi za kiarabu huko ndo anapiga kazi.

Sasa amerudi mapumziko hivi karibuni. Tumekuwa tukipiga story kadhaa wa kadhaa kama kawaida sie ma men kuambiana fala, mseng* ni kawaida tu.

Wala sio kwamba umekasirka la hasha neno kama qumamae una liwa nk Huwa tunatumia bila mipka tukiwa wenyewe.

Shida kubwa ni hili neno analo niambia weekend hii anitoe out. Tena anasisitiza kabisa.

Nimemwambia mimi sie demu wala mwanamke lakini bado anasema siku hizi hata wanaume wanatolewa out kama kawaida.

Nimemwambia sihitaji hiyo out yake ni nikamwambia waarabu wamekuharibu fala wewe.

Naona kachukia baada ya kumwambia hivyo namimi sina shida ya out yake.

Nimewaza sana imagine wife asikie naambiwa au nimuage kuwa rafiki yangu ananitoa out week hii asee naamini nitazaralika sana.

Kwenu wadau ni Sasa?

Picha haiusiani na kilichoandikwa ni makanisa yalipo underground sehemu fulani.

Mwanangu ungeuponza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko ukawaza wana date? Kwann usiwaze ni marafiki walioshibana?
Wange share spirit sio wine au basi wangenunua hata bia kila mtu ya kwake.

Wine!!, kabisa wanaume wawili wana-share, hii naona haiko sawa kwakweli.
 
Wange share spirit sio wine au basi wangenunua hata bia kila mtu ya kwake.

Wine!!, kabisa wanaume wawili wana-share, hii naona haiko sawa kwakweli.
Haiko sawa kwako wee! Sio kwa wenginee.
Hata wee kuna unavyoona ni sawa, ila kwa wengine sio sawa.

C unajua tumetofautianaa bwasheeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Heri kwenu ninyi nyote mabibi, mashangazi na mabwana!

Hii tabia naiona imenifanya niwe na wasiwasi na rafiki yangu. Labda pengine ni hisia zangu na mawazo yangu.

Kisa kipo Hivi

Jamaa tulikuwa tunafanya nae kazi mgodi× na Mimi ndo nilkuwa trainer wake upande wa machine za drilling (uchorogaji)

Basi akajua kazi vizuri maana nilimpa madini yote na sikuwahi mbania kumpa machine bidii yake ndo ilimfanya ajue mapema japo yeye ni mkubwa ananizid miaka3 mbele.

Baada ya kujua basi yeye alifanikiwa kwenda nje na kwakweli hajawahi nisahau!

Yupo nje nchi za kiarabu huko ndo anapiga kazi.

Sasa amerudi mapumziko hivi karibuni. Tumekuwa tukipiga story kadhaa wa kadhaa kama kawaida sie ma men kuambiana fala, mseng* ni kawaida tu.

Wala sio kwamba umekasirka la hasha neno kama qumamae una liwa nk Huwa tunatumia bila mipka tukiwa wenyewe.

Shida kubwa ni hili neno analo niambia weekend hii anitoe out. Tena anasisitiza kabisa.

Nimemwambia mimi sie demu wala mwanamke lakini bado anasema siku hizi hata wanaume wanatolewa out kama kawaida.

Nimemwambia sihitaji hiyo out yake ni nikamwambia waarabu wamekuharibu fala wewe.

Naona kachukia baada ya kumwambia hivyo namimi sina shida ya out yake.

Nimewaza sana imagine wife asikie naambiwa au nimuage kuwa rafiki yangu ananitoa out week hii asee naamini nitazaralika sana.

Kwenu wadau ni Sasa?

Picha haiusiani na kilichoandikwa ni makanisa yalipo underground sehemu fulani.

Wanaume huwa tuna kauli zetu

Oyaa wanangu twendeni tukale bata weekend hii mahali fulani


Kama hivyo. . .

Oya ninja weekend hii tugumiane maeneo tukate maji, kama hivyo
 
Wanaume huwa tuna kauli zetu

Oyaa wanangu twendeni tukale bata weekend hii mahali fulani


Kama hivyo. . .

Oya ninja weekend hii tugumiane maeneo tukate maji, kama hivyo
Ndo hivyo kabisa. Mfano huku tushazoea kusema oyaah weekend hii tunaenda kuturirisha maji sehem fln au kiwanja kile. Ama Bata. Ukisema hivo hata shati nalivaa huku natembea kuelekea site mbio mbio
 
Mgodini tuna lugha chafu kwakweli lkn tangu nifanye kazi mgodini kama mnatoka viwanja Kuna lugha Huwa tunatumia mkuu mfano weekend hii itasomea mwanza mazee au vipi mwingine atasema tukuwa kahama pale club ama bar Ile Kuna Watoto wakali& mishangazi nk lakini hii yakuambiwa kunitoa out sijawahi kabisa hata yeye kipindi chote akiwa hapa bongo tulikuwa tunaenda viwanja nae out ni mademu tu
tulia utolewe dinner na beste wako
 
Statement haijakaa vizuri, haijakaa kwa me vs me hata kidogo. Me anitoe out ndio kitu gani hicho.
 
Haiko sawa kwako wee! Sio kwa wenginee.
Hata wee kuna unavyoona ni sawa, ila kwa wengine sio sawa.

C unajua tumetofautianaa bwasheeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila ni kweli, wanaume wa skotland wanavaa visketi na wanaheshimika 😂
 
Back
Top Bottom