Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
Kama mwenyekiti wa Chama cha Wanaume Wa Shoka Tanzania nasikitishwa sana na hali ya hivi sasa ya baadhi ya wanaojiita wanaume, unakuta mwanaume kabisa kafungulia radio na anacheza kabisa kwa kujitikisa anaimba "Sukari nampatia tena"....tena akiwa anasema hivyo nakuambia analegeza macho na kujilamba midomo...hapo kashika Ice cream anailamba lamba, suruali imechanika chanika ( wanasema fashion) huku kaishusha chini ya makalio..
Hawa ndio WAUME watarajiwa, jamani wanawake mnaolewaje na wanaume wa namna hii? Tena mwanaume anauimba wimbo huo beti zote kwa ustadi wa hali ya juu kabisa ..zaidi ukiwakuta wanabishania " kusutana" wao kwa wao kuhusu Nandy na Zuchu nani bora unaweza kushika kichwa kwa mshangao. Kama mwenyekiti nimesikitishwa na hii hali.
Sasa ndio mana wanawake wanatafutana wao kwa wao sasa mana wanaona wanaume wenyewe ndio sisi tunaimba "Sukari nampatia tena" , wafanyaje? Nasema msikate tamaa warembo, wanaume wa shoka tupo sema ni ngumu kutujua inabidi uingie chimbo haswa kutujua.
Nawapa pole wanaume wa dizaini hio niliyoisema, mnatia AIBU SANA.
Hawa ndio WAUME watarajiwa, jamani wanawake mnaolewaje na wanaume wa namna hii? Tena mwanaume anauimba wimbo huo beti zote kwa ustadi wa hali ya juu kabisa ..zaidi ukiwakuta wanabishania " kusutana" wao kwa wao kuhusu Nandy na Zuchu nani bora unaweza kushika kichwa kwa mshangao. Kama mwenyekiti nimesikitishwa na hii hali.
Sasa ndio mana wanawake wanatafutana wao kwa wao sasa mana wanaona wanaume wenyewe ndio sisi tunaimba "Sukari nampatia tena" , wafanyaje? Nasema msikate tamaa warembo, wanaume wa shoka tupo sema ni ngumu kutujua inabidi uingie chimbo haswa kutujua.
Nawapa pole wanaume wa dizaini hio niliyoisema, mnatia AIBU SANA.