Mwanaume mzima unaimba "Sukari nampatia tena", kweli?

Mwanaume mzima unaimba "Sukari nampatia tena", kweli?

Unakulaje hivo vitu, kwani bangi hamna??
🤣🤣🤣🤣 Hii dhana haifai kabisa, zamani niliogopa sana.

Mpaka leo kuna vijana wanatembea wanakula bigbom(lilipop) hadharani hii imekaaje
 
That's a stupid argument. It's called Toxic Masculinity.

Kwanini mwanamke akiimba wimbo wa Fid Q it's fine tena anasifiwa lakini mwanaume akiimba wimbo wa Zuchu anasemwa?
 
That's a stupid argument. It's called Toxic Masculinity.

Kwanini mwanamke akiimba wimbo wa Fid Q it's fine tena anasifiwa lakini mwanaume akiimba wimbo wa Zuchu anasemwa?
We una busara sana.. imba tu haujakatazwa
 
That's a stupid argument. It's called Toxic Masculinity.

Kwanini mwanamke akiimba wimbo wa Fid Q it's fine tena anasifiwa lakini mwanaume akiimba wimbo wa Zuchu anasemwa?
Mwanamke akipapaswa tako ni kawaida tu, leta na wewe la kwako tulipapase basi.

Acha ujinga mnaojazwa na wazungu eti mwanamke na mwanaume sawa. Hakuna usawa kati ya mwanaume na mwanamke, kuanzia walivyoumbwa hadi pyscology yao. Wewe kama unataka kuwa sawa na mwanamke ukipanda daladala ukakuta imejaa omba uwe unapakatwa na wanaume wenzio. Kama huliwezi hilo basi jua ni upuuzi kwa mwanaume kuimba anampatia sukari mwanaume mwenzie.
 
Mwanamke akipapaswa tako ni kawaida tu, leta na wewe la kwako tulipapase basi.

Acha ujinga mnaojazwa na wazungu eti mwanamke na mwanaume sawa. Hakuna usawa kati ya mwanaume na mwanamke, kuanzia walivyoumbwa hadi pyscology yao. Wewe kama unataka kuwa sawa na mwanamke ukipanda daladala ukakuta imejaa omba uwe unapakatwa na wanaume wenzio. Kama huliwezi hilo basi jua ni upuuzi kwa mwanaume kuimba anampatia sukari mwanaume mwenzie.


Cheki ulivyokasirika 😂😂.

Yaani ukishaanza kuona unakasirika kisa mtu anaimba wimbo anaoupenda ujue una mawazo "shallow" sana. Ukute unaishi kwa shemeji wewe hata maji ya kunywa unanunuliwa ndo maana unapata muda wa kukasirishwa na vitu vya ajabu ajabu.

Uwezi ukakuta mtu serious anayefurahia na kufocus kwenye vitu vyake anakasirika eti kisa mtu anaimba wimbo wa zuchu? How does that affect you? Au inasababisha TZ tusiingie kwenye uchumi wa kati?

Masuala ya Kushika m*k*lio utashikwa tu hata uwe unasikiliza nyimbo za Eminem na Tupac.

Kwa kumalizia, kwa ujinga ulioandika hapo juu basi nadhani watayarishaji wote wa mziki wanashikwa m*k*lio kwa sababu wenyewe ndo wanaandaa hizo nyimbo na kutoa mawazo na wanazisikiliza sana kabla hazijatoka.

Acha ujinga usitafute sifa kuonekana wewe mwanaume sana humu jukwaani. No one knows you here & nobody cares. Start living happy life acha kukasirishwa na vitu vya ajabu ajabu.

Ni hayo tu
 
1615714650784.png
 
Kama mwenyekiti wa Chama cha Wanaume Wa Shoka Tanzania nasikitishwa sana na hali ya hivi sasa ya baadhi ya wanaojiita wanaume, unakuta mwanaume kabisa kafungulia radio na anacheza kabisa kwa kujitikisa anaimba "Sukari nampatia tena"....tena akiwa anasema hivyo nakuambia analegeza macho na kujilamba midomo...hapo kashika Ice cream anailamba lamba, suruali imechanika chanika ( wanasema fashion) huku kaishusha chini ya makalio..

Hawa ndio WAUME watarajiwa, jamani wanawake mnaolewaje na wanaume wa namna hii? Tena mwanaume anauimba wimbo huo beti zote kwa ustadi wa hali ya juu kabisa ..zaidi ukiwakuta wanabishania " kusutana" wao kwa wao kuhusu Nandy na Zuchu nani bora unaweza kushika kichwa kwa mshangao. Kama mwenyekiti nimesikitishwa na hii hali.

Sasa ndio mana wanawake wanatafutana wao kwa wao sasa mana wanaona wanaume wenyewe ndio sisi tunaimba "Sukari nampatia tena" , wafanyaje? Nasema msikate tamaa warembo, wanaume wa shoka tupo sema ni ngumu kutujua inabidi uingie chimbo haswa kutujua.

Nawapa pole wanaume wa dizaini hio niliyoisema, mnatia AIBU SANA.
inasikitisha mwanaume kupata muda wa kuandika mada ndeeefu jamiiforums, ukinung'unika juu ya watu wa aina hiyo. kwa maana mada hii ndefu ingependeza ingekuwa juu ya jambo lenye manufaa
 
inasikitisha mwanaume kupata muda wa kuandika mada ndeeefu jamiiforums, ukinung'unika juu ya watu wa aina hiyo. kwa maana mada hii ndefu ingependeza ingekuwa juu ya jambo lenye manufaa
Naona imewachoma mnaolamba midomo
 
Ole na genge lake wanaukariri huu wimbo ili kuuimba siku ya Alhamis
 
Back
Top Bottom