Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Unakutana na mwanaume mtu mzima na midevu yake anamwambia muuza chipsi "mayai yasikauke Sana alafu weka mayonaizi na soseji mbili" naishia kujiuliza hivi huyu akitoka hapa anawezaje kuchakata mbususu kwa mkewe?
Food industry ni moja ya silaha hatari Sana inayomwangamiza mwanaume kimya kimya.
hivi nchi za ulaya wanakula makuku brioler na hizo chips na unakuta ana watoto hata sita, watoto wao wana akili kila siku wanafanya mapinduzi ya kisayans wanatoa wachezaji bora katika kila mchezo wanatoa wanajeshi bora kila leo sisi huku tunakula vyakula vigumu lakini ndo hakuna maendeleo ki michezo kielimu kitechnolijia shida hii imekaaje mkuu?Mungu tunusuru wanaume tumebaki wachache sana, foleni kubwa ya wadada wanasubiri na kuweka odder za chips Yai na kuku ghafla unakuta likidume lipo katikati ya wanawake nalenyewe linasubili chipsi [emoji848]
Mkigongewa wake zenu mnafoka nakati mnayataka wenyewe, mwanaume kula ugali wa dona na samaki wakuchemsha, gonga mihogo mibichi, nazi na karanga wa kutosha sio kula bugger na piza sijui bufee magonjwa hayooo unauwa nguvu zako za kiume
Wanaume tuache kula vya kula vya kike
Kula kitu roho inapenda, huko sahihi mkuu, kama ni mihogo kwenye sikukuu ni sawa tu, si roho yako imetaka hivyo.Sahihi mimi binafsi siwezi kuagiza chipsi mayai, bugger au pizza ni upuuzi
Mkuu tulizaliwa tukakaririshwa hivyo sikatai.
Lakini tuliposoma na kuelimika, tukaja gundua kuwa kumbe mahindi (maize meal), yawe ni unga wa sembe ama dona ndiyo chakula chenye thamani ya chini kabisa kuliko vyote katika vyakula vya mazao ya nafaka!
"Food value" ya mahindi hailingani na ngano, mchele, mtama ama uwele.
Na pia hauwezi kulinganisha na vyakula vya mizizi kama mihogo na viazi.
Kwa wazungu huko, mazao ya mahindi ni chakula cha mifugo kuanzia majani na mbegu zake.
Kabla ulimwengu haujastaarabika, kwao mahindi kilikuwa pia ni chakula cha watumwa.
Tukitaka kusifia milo, basi tuchunguze kwanza ni chakula gani tunachoweza kutoka nacho hadharani na kujikisifia kutumia.
Mi nadhani mtu anayekula wali ama chapati ana gain more energy kuliko anayekula ugali.
Ugali kiuhalisia ni chakula cha chini sana na hakina thamani yoyote katika afya ya binadamu.
Kuna baadhi ya nchi hawaelewi kabisa stori za kitu kinachoitwa ugali na wako strong ki afya!
Leo umeamua kulisema lile kundi kwa walipo Dar 🤣🤣🤣🤣🤣Mungu tunusuru wanaume tumebaki wachache sana, foleni kubwa ya wadada wanasubiri na kuweka odder za chips Yai na kuku ghafla unakuta likidume lipo katikati ya wanawake nalenyewe linasubili chipsi [emoji848]
Mkigongewa wake zenu mnafoka nakati mnayataka wenyewe, mwanaume kula ugali wa dona na samaki wakuchemsha, gonga mihogo mibichi, nazi na karanga wa kutosha sio kula bugger na piza sijui bufee magonjwa hayooo unauwa nguvu zako za kiume
Wanaume tuache kula vya kula vya kike
hivi nchi za ulaya wanakula makuku brioler na hizo chips na unakuta ana watoto hata sita, watoto wao wana akili kila siku wanafanya mapinduzi ya kisayans wanatoa wachezaji bora katika kila mchezo wanatoa wanajeshi bora kila leo sisi huku tunakula vyakula vigumu lakini ndo hakuna maendeleo ki michezo kielimu kitechnolijia shida hii imekaaje mku
Kwenye samaki hapana, most of samaki source zake huzijui, wengine wanafugwa na kupewa kemikali zinazowakuza haraka , na kupelekea kesi za kansa kutoisha.Mungu tunusuru wanaume tumebaki wachache sana, foleni kubwa ya wadada wanasubiri na kuweka odder za chips Yai na kuku ghafla unakuta likidume lipo katikati ya wanawake nalenyewe linasubili chipsi [emoji848]
Mkigongewa wake zenu mnafoka nakati mnayataka wenyewe, mwanaume kula ugali wa dona na samaki wakuchemsha, gonga mihogo mibichi, nazi na karanga wa kutosha sio kula bugger na piza sijui bufee magonjwa hayooo unauwa nguvu zako za kiume
Wanaume tuache kula vya kula vya kike
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtoa mada upo tayari kwa mashambulizi?wanamalizia kula wanakuja
Ugali ndo sababu hatuna akili
Ni chakula cha kumfanya mtu ashibe, kililetwa kwetu mhususi sababu hatukuweza mudu milo 3Bora boss wangu umesema ukweli heshima kwako mkuu
hivi nchi za ulaya wanakula makuku brioler na hizo chips na unakuta ana watoto hata sita, watoto wao wana akili kila siku wanafanya mapinduzi ya kisayans wanatoa wachezaji bora katika kila mchezo wanatoa wanajeshi bora kila leo sisi huku tunakula vyakula vigumu lakini ndo hakuna maendeleo ki michezo kielimu kitechnolijia shida hii imekaaje mkuu?
Victor wanyama aliambiwa ugali haua faida yoyote kwenye mwili hasa Kwa mtu wa mazoezi akiwa spurs 😂😂Unakutana na mwanaume mtu mzima na midevu yake anamwambia muuza chipsi "mayai yasikauke Sana alafu weka mayonaizi na soseji mbili" naishia kujiuliza hivi huyu akitoka hapa anawezaje kuchakata mbususu kwa mkewe?
Food industry ni moja ya silaha hatari Sana inayomwangamiza mwanaume kimya kimya.