Mwanaume mzima unakula chipsi kuku unaacha dona na mihogo


Bora umewapa elimu tajiri
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wale wazungu hawawez kumkojoza mwanamke vzr kama sisi blackmamba, ndio maana wadada wengi wa kizungu huja afrika na wengine wanakuja kwetu Tanzania kuolewa na wamasai kufata mkunyenge mkubwa ikizama anakojoa, this is why rasman wa Jamaica almost wote wamebebwa na wadada wa kizungu maana wana dick kubwa kuliko wengine Duniani
 
Mkuu Kuna watu hawali hivyo vitu ulivotaja sijui Dona na kadha wa kadha ulivotaja apo juu na wanaishi Bomba tu mfano Wayne Rooney
Unajuaje kuwa Wayne Rooney hachapiwi Mke tokana na ukosefu wa nguvu za kiume?

Mmebakiwa kuiga tu Mtu anavyoshusha kimba kwenye sinki.
 
Me naona matunda muhimu sana kama unaweza yapata mda wote
Dona miogo isikuogopeshe kutokula
Matunda si chakula cha kuleta nguvu za mwilini zaidi ya kujenga hamu ya kula, kutakatisha ngozi na kulainisha choo tu, muwe mnaelewa mnaposhauriwa.
 
Tafuta furaha yako kwanza.
maisha yetu madogo na yamejaa taabu. kama chips ni tamu kwanini usile.
Somo la chakula ni primary. kuna nchi nyingi hawatumii ugali so wao inakuwaje?
Ndiyo uzuzu wenyewe huo, hawatumii sababu si chakula chao asilia, sasa we bagger, pizza na chipsi unaingiza nini mwilini zaidi ya upuuzi mtupu?
 
Pesa ya kwangu tuumbo la kwangu bado unipangie cha kula kweli? Chips zege na kuku inaondoa uanaume wapi? Au ni mtazamo wako
Jaribu kukamua kiwango cha mafuta unayoingiza mwilini kupitia huo upumbavu unaosema kisha uje unishukuru hapa JF.

Pesa yako usipangiwe hata kushauriwa?

Huna tofauti na Me wajinga watakao kulelewa na Mashugamami au kuhalalisha ushoga kisa tu democracy.
 
Maisha ya kuona Kula Ugali, mihogo na Vyakula vingine vigumugumu ndio kuwa na miguvu ni mabaya Sana.

Tatizo ni umaskini tu ila sio Vyakula vya kujisifu.
Ujuaji mwiiingi kumbe PUMBA.

Babu na Baba zako wamekula weee huo ugali hadi uzeeni na walikuwa hawalii lii hovyo kuhusu Bibi na Mama zako ktk mahusiano ya ndoa, kizazi hiki je?
 
Kwani tajir kuna ubaya gani mwanaume akila kiepe zege na kuku choma nusu ?
Unashiba kabisaaa?

Lete mapipa na mapipa ya chipsi nitaishia kujaza tu tumbo, baada ya saa 1 nitahisi njaa hatari.... Lada mashine yako itakuwa ina tatizo la umeng'enyaji wa msosi [emoji4]
 
Life is too short. Kula kitu roho inapenda maana safari muda wowote.
Halafu jamii kusini mwa jangwa la sahara zinazopenda ugali zaidi ndizo jamii masikini duniani. Halafu ukijumlisha kuwa mahindi mengi ni zao la GMO basi ni shida. Mimi nakula ugali mara kadhaa ila sio chakula changu pendwa kiko chini kabisa ya list
 
Kawaeleze huu ujinga wako Wasabato au Wapemba wakikuelewa valisha ubongo wako dishi jingine ukamate sawa sawa.

Unazidiwa akili hata na panya anayekula kiini cha hindi na gamba akiacha kapi tu?

Unaelewa kazi ya kiini cha hindi?

Ulishawahi kujiuliza kwanini Wazazi wako walikuwa very bright vichwani mwao na hawakuumwa magonjwa ya ajabu ajabu kama zama hizi?

Hujalazimishwa kula dona kila siku lakini tafiti kwa kina athari za kutokula dona kisha lete majibu.

Watoto wadogo wanakunywa uji wa lishe (mchanganyiko wa ulezi, mtama, mahindi, ngano, uwele, mchele) na wana afya tele, njoo sasa kwa wajuaji wa kisasa watadai ni uchafu kumbe ndiyo chanzo cha kupoteza kinga za afya miilini mwao, kuzeeka mapema na hata kufa mapema.

Mungu hawezi kuumba chakula cha asili kikakuletea tatizo zaidi ya artificial foods na chemical drinks za viwandani tutengenezazo sisi Binadamu wenyewe.

Usiidanganye Jamii ukajitafutia laana bure kwa kuangamiza Watu kiafya.
 
Acha uwongo, moja ya kazi ya viini vya mahindi ni uimarishaji wa nyezo za kumbukumbu katika ubongo (Human beings memory neurons).

Magamba ya mahindi ni miongoni mwa fibres zinazokurahisishia uchakataji wa chakula na kupata taka mwili (haja kubwa)

Sasa ukishakoboa mahindi tumbo lako linaenda kumeng'enya nini katika sembe?

Penda kujifunza upate maarifa siyo kudanganya Watu hapa kwa stori zako za vijiweni...amka uanze sasa hujachelewa.
 
Shida ni ubaguzi wa rangi, miundo mbinu ya uwezeshaji wa teknolojia maana Wazungu walishachota mali barani Africa enzi za ukoloni na hata sasa hivi wana Neocolonialism inayoendelea kuitafuna Africa ili isijikwamue kiuchumi.
 
Bro kwani kuna kitabu chochote cha dini au andiko lolote lile linaloonesha vyakula vya kike na vya kiume.

na me nilipitie hilo andiko nipate elimu
 
kwahiyo we have nothing to show off except sex?? as black people??
 
Shida ni ubaguzi wa rangi, miundo mbinu ya uwezeshaji wa teknolojia maana Wazungu walishachota mali barani Africa enzi za ukoloni na hata sasa hivi wana Neocolonialism inayoendelea kuitafuna Africa ili isijikwamue kiuchumi.
kwahiyo mtoa mada na vyakula ?
 
Je wajua chips ina nguvu kuliko ugali?

Hata hao wanaokwambia mafundi wanakula ugali ndo unanguvu Ni kwamba hawana pesa ya kununua chips za kushiba badala yake wanakula ugali dagaa 1500tzs ila ukweli ugali Ni chakula Cha masikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…