Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,552
- 2,741
Dona yenyewe cku hizi unaambiwa ina sumu kuvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wanapenda kula ugali mkubwa na mchuzi, afu wanajisifia
Nguvu za kufanya nini?Kati ya chips kuku na Dona na mihogo, Kipi ni chakula chenye nguvu?
Kaka mpwa ni kweli tunakula chipsi 🤣🤣🤣🤣🤣 ila siku hizi sisi hatujali hatutaki nguvu za kiume bali tunataka nguvu za kiuchumi!!!Nguvu za kiume zitatufikisha wapi kwenye dunia hii kama hatuna nguvu za kiuchumi🤣🤣🤣🤣🤣Mungu tunusuru wanaume tumebaki wachache sana, foleni kubwa ya wadada wanasubiri na kuweka odder za chips Yai na kuku ghafla unakuta likidume lipo katikati ya wanawake na lenyewe linasubili chipsi [emoji848].
Mkigongewa wake zenu mnafoka nakati mnayataka wenyewe, mwanaume kula ugali wa dona na samaki wakuchemsha, gonga mihogo mibichi, nazi na karanga wa kutosha sio kula bugger na piza sijui bufee magonjwa hayooo unauwa nguvu zako za kiume.
Wanaume tuache kula vya kula vya kike.
MatusiNguvu za kufanya nini?
Unataka wale mihogo kwani ni wajawazito.Mungu tunusuru wanaume tumebaki wachache sana, foleni kubwa ya wadada wanasubiri na kuweka odder za chips Yai na kuku ghafla unakuta likidume lipo katikati ya wanawake na lenyewe linasubili chipsi [emoji848].
Mkigongewa wake zenu mnafoka nakati mnayataka wenyewe, mwanaume kula ugali wa dona na samaki wakuchemsha, gonga mihogo mibichi, nazi na karanga wa kutosha sio kula bugger na piza sijui bufee magonjwa hayooo unauwa nguvu zako za kiume.
Wanaume tuache kula vya kula vya kike.
Sasa kila mwanaume ameo?Mungu tunusuru wanaume tumebaki wachache sana, foleni kubwa ya wadada wanasubiri na kuweka odder za chips Yai na kuku ghafla unakuta likidume lipo katikati ya wanawake na lenyewe linasubili chipsi [emoji848].
Mkigongewa wake zenu mnafoka nakati mnayataka wenyewe, mwanaume kula ugali wa dona na samaki wakuchemsha, gonga mihogo mibichi, nazi na karanga wa kutosha sio kula bugger na piza sijui bufee magonjwa hayooo unauwa nguvu zako za kiume.
Wanaume tuache kula vya kula vya kike.
Ajabu iliyojeeee.Mbona swala la Nguvu za kiume liko overrated
Boss asikupangie huyo, we endelea kuenjoy hapo kfc.Pesa ya kwangu tuumbo la kwangu bado unipangie cha kula kweli? Chips zege na kuku inaondoa uanaume wapi? Au ni mtazamo wako
Boss Mwachiluwi, kumbe unakaa kinondoni. mitaa ya wakishua[emoji23][emoji23][emoji23] tuame kinondoni twende kigogo labda
Boss Mwachiluwi, kumbe unakaa kinondoni. mitaa ya wakishua