Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Boss asikupangie huyo, we endelea kuenjoy hapo kfc.
Af kfc juma nne kuna offa 13000 unakula mpaka unasaza hila chips mzuri ambazo azikinai ni skweeerZ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss asikupangie huyo, we endelea kuenjoy hapo kfc.
Huko amejenga mtoto mmoja wa mengi, lakini madon pia wanna appartment za kutosha. Naona umejiunga na maboss wenzako.[emoji23][emoji23][emoji23] mimi nakaa uku bunyokwa kimara
uko vizuri boss, nimeimagine kwa mwezi unawaachia zaidi ya 50k, hiyo ni hela yangu ya kula miezi zaidi ya 6 Mimi jobless wa kimataifa.Af kfc juma nne kuna offa 13000 unakula mpaka unasaza hila chips mzuri ambazo azikinai ni skweeerZ
Huko amejenga mtoto mmoja wa mengi, lakini madon pia wanna appartment za kutosha. Naona umejiunga na maboss wenzako.
uko vizuri boss, nimeimagine kwa mwezi unawaachia zaidi ya 50k, hiyo ni hela yangu ya kula miezi zaidi ya 6 Mimi jobless wa kimataifa.
Sijasoma kabisa boss, we nipe hata kazi ya kudeki vyoo tu.Wewe tena unazidi kukaa ndani toka njee ujiuze watu wajue umesomea nini uzipo jiuza sokoni nan atajua unahitaji kazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi si unaniona hapa nafungukaga napataga ofa za kula hotel [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Boss, naona leo umeamua utembelee maeneo ya sisi majobless, sema nipe hata kazi ya kukufuta viatu.Dah unanipaisha ww kijana wakati hapa nipo kwenye daladala naenda mbagala [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Boss, naona leo umeamua utembelee maeneo ya sisi majobless, sema nipe hata kazi ya kukufuta viatu.
Sijasoma kabisa boss, we nipe hata kazi ya kudeki vyoo tu.
Kumbe ile range we ndo ulimpa boss.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah unanifurahisha nenda kwa juma lokole kanunua range muombe kazi ya kuosha gar [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ile range we ndo ulimpa boss.
Nisamehe Sana boss🙏🙏, sitorudia kuandika vizuri kukushinda boss wangu.Na unaandika vizuri kuliko mimi kila siku nachambwa humu kisa mwandiko
Nisamehe Sana boss[emoji120][emoji120], sitorudia kuandika vizuri kukushinda boss wangu.
Nisamehe Sana boss[emoji120][emoji120], sitorudia kuandika vizuri kukushinda boss wangu.
Yaani mimi jobless wa kimataifa sielewi kabisa, acha niende kwa To yeye au Bantu Lady, nimuombe mmoja wao anifuge Kama samaki.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boss wewe dah
Mkuu unataka nife kabla hata ya kutuma barua ya posa, nipe hata mtaji wa 3000 niuze mbege huku.Fanya uoe mimi nitagharamia harusi yako![]()
![]()
![]()
Yaani mimi jobless wa kimataifa sielewi kabisa, acha niende kwa To yeye au Bantu Lady, nimuombe mmoja wao anifuge Kama samaki.
Mkuu unataka nife kabla hata ya kutuma barua ya posa, nipe hata mtaji wa 3000 niuze mbege huku.
Wewe waache Kuna mtu alikuwa anakula chipsi na mbona anapiga shoo fresh chips sio solutionMungu tunusuru wanaume tumebaki wachache sana, foleni kubwa ya wadada wanasubiri na kuweka odder za chips Yai na kuku ghafla unakuta likidume lipo katikati ya wanawake na lenyewe linasubili chipsi [emoji848].
Mkigongewa wake zenu mnafoka nakati mnayataka wenyewe, mwanaume kula ugali wa dona na samaki wakuchemsha, gonga mihogo mibichi, nazi na karanga wa kutosha sio kula bugger na piza sijui bufee magonjwa hayooo unauwa nguvu zako za kiume.
Wanaume tuache kula vya kula vya kike.
Eh wewe mtu mwongoo majina mnne halafu mbwa watatuNjoo uwe unalishia mbwa na kuwaogesha huku mbwa wapo watatu mmoja anaitwa cook,boni,lola na jack