Mwanaume mzima unakula chipsi kuku unaacha dona na mihogo

Mwanaume mzima unakula chipsi kuku unaacha dona na mihogo

uko vizuri boss, nimeimagine kwa mwezi unawaachia zaidi ya 50k, hiyo ni hela yangu ya kula miezi zaidi ya 6 Mimi jobless wa kimataifa.

Wewe tena unazidi kukaa ndani toka njee ujiuze watu wajue umesomea nini uzipo jiuza sokoni nan atajua unahitaji kazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi si unaniona hapa nafungukaga napataga ofa za kula hotel [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe tena unazidi kukaa ndani toka njee ujiuze watu wajue umesomea nini uzipo jiuza sokoni nan atajua unahitaji kazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi si unaniona hapa nafungukaga napataga ofa za kula hotel [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijasoma kabisa boss, we nipe hata kazi ya kudeki vyoo tu.
 
Fanya uoe mimi nitagharamia harusi yako
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Mkuu unataka nife kabla hata ya kutuma barua ya posa, nipe hata mtaji wa 3000 niuze mbege huku.
 
Mungu tunusuru wanaume tumebaki wachache sana, foleni kubwa ya wadada wanasubiri na kuweka odder za chips Yai na kuku ghafla unakuta likidume lipo katikati ya wanawake na lenyewe linasubili chipsi [emoji848].

Mkigongewa wake zenu mnafoka nakati mnayataka wenyewe, mwanaume kula ugali wa dona na samaki wakuchemsha, gonga mihogo mibichi, nazi na karanga wa kutosha sio kula bugger na piza sijui bufee magonjwa hayooo unauwa nguvu zako za kiume.

Wanaume tuache kula vya kula vya kike.
Wewe waache Kuna mtu alikuwa anakula chipsi na mbona anapiga shoo fresh chips sio solution
 
Back
Top Bottom