Mwanaume ndo huyu

Aiseee nimewaza kwa picha ulivyokua unaandika ulikua unafikiria nini!
Nimejikuta nacheka tu!
Tuna shida sana wanaume
Hatari sana unaweza pasuka msamba kumpigania mtu kumbe yeye wala hahitaji ufanye yote hayo
 
Ukitafakari nini hasa kina dada wanapenda unaweza ukajikuta unatumia nguvu sawa na kuomba raia wasiandamane hiyo 26 alafu watu ndo kama wamesikia obama ndo anakuja iyo siku..haha
 
Kwenye dp ndo wewe kabisa kabisaa

Kama ndo wewe njoo nikusongolozee waukae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…