Mwanaume ni haki yako kuchunguza simu ya mwenza wako kwa usalama wa ndoa yako!!!

Mwanaume ni haki yako kuchunguza simu ya mwenza wako kwa usalama wa ndoa yako!!!

digba sowey

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
8,926
Reaction score
17,880
kukua na kupanuka kwa sayansi na teknolojia kumekuwa na matokeo hasi na chanya katika jamii.

kupanuka kwa matumizi ya simu na mitandao ya kijamii kumeleta changamoto katika mahusiano ya kimapenzi , hii ni kwa wapenzi na wanandoa , ambampo unakuta baba na mama wanaishi pamoja na kushea kila kitu ,hadi password za akaunti za benki ila cha ajabu mwanamme ima nwanamke haruhusiwi kushika simu ya mwingine.

kiufupi mkifikia hapo inakuwa hiyo sio ndoa tena, mme na mke sharti waaminiane kwa kila jambo,

ikumbukwe kuwa wanawake ni viumbe dhaifu(samahani) ndio maana shetani katika bustani ya edeni alimfuata Hawa akijua kuwa atafanikiwa na kweli ilikuwa hivo, hapa kosa lilikuwa kwa Adamu kumuacha mke pekee,hapa namaanisha kuwa mwanamke anapaswa kusimamiwa na kuelekezwa, haiwezekani mke wako awe na akaunti kila social network , na hujui kipi anakifanya huko Mara atume mipicha na mijanaume mibazazi ianze kumsifi ooh wewe mrembo, na yeye anaitikia asante, huu ni upuuzi hakika watamnasa tu, mwanamke anapenda sana kusifiwa, mwanamme kuwa makini

jambo la mwisho mudhibiti mkeo kuwa na account kila mtandao utadhani ni mfanyabiashara,huko hakuna chochote bali ni sehemu ya kufarakanisha ndoa tu,

NB.kuogopa kushika simu ya mpenzi au mwenza wako kwa kigezo cha kuogopa kujitakia presha na ugomvi ni upuuzi wa kiwango cha masters ambao unalinganishwa na mtu anayeogopa kwenda kupima VVU eti kisa akijua atakufa au atapata presha, ndugu yangu ni bora akachunguza ili uweze chukua hatua stahiki, magonjwa yamezidi , michepuko haifai, mungu awabariki,

[AHSANTENI]
 
Kuchunguza sio kuzuri ila kushika sio kubaya...ila unapogundua amebadilika kuchunguza ni sahihi.

Huwa nawashangaa watu wanaosema usishike simu ya mpenzi wako. Sasa yangu ikiisha chaji au salio na tupo wote ndani??
 
kukua na kupanuka kwa sayansi na teknolojia kumekuwa na matokeo hasi na chanya katika jamii.

kupanuka kwa matumizi ya simu na mitandao ya kijamii kumeleta changamoto katika mahusiano ya kimapenzi , hii ni kwa wapenzi na wanandoa , ambampo unakuta baba na mama wanaishi pamoja na kushea kila kitu ,hadi password za akaunti za benki ila cha ajabu mwanamme ima nwanamke haruhusiwi kushika simu ya mwingine.

kiufupi mkifikia hapo inakuwa hiyo sio ndoa tena, mme na mke sharti waaminiane kwa kila jambo,

ikumbukwe kuwa wanawake ni viumbe dhaifu(samahani) ndio maana shetani katika bustani ya edeni alimfuata Hawa akijua kuwa atafanikiwa na kweli ilikuwa hivo, hapa kosa lilikuwa kwa Adamu kumuacha mke pekee,hapa namaanisha kuwa mwanamke anapaswa kusimamiwa na kuelekezwa, haiwezekani mke wako awe na akaunti kila social network , na hujui kipi anakifanya huko Mara atume mipicha na mijanaume mibazazi ianze kumsifi ooh wewe mrembo, na yeye anaitikia asante, huu ni upuuzi hakika watamnasa tu, mwanamke anapenda sana kusifiwa, mwanamme kuwa makini

jambo la mwisho mudhibiti mkeo kuwa na account kila mtandao utadhani ni mfanyabiashara,huko hakuna chochote bali ni sehemu ya kufarakanisha ndoa tu,

NB.kuogopa kushika simu ya mpenzi au mwenza wako kwa kigezo cha kuogopa kujitakia presha na ugomvi ni upuuzi wa kiwango cha masters ambao unalinganishwa na mtu anayeogopa kwenda kupima VVU eti kisa akijua atakufa au atapata presha, ndugu yangu ni bora akachunguza ili uweze chukua hatua stahiki, magonjwa yamezidi , michepuko haifai, mungu awabariki,

[AHSANTENI]
Huyo ni ndugu yako wa kitandani tu hakuna kingine usijipe presha
 
Back
Top Bottom