Mwanaume ni kama suruali ya jinsi hachujiiii

Mwanaume ni kama suruali ya jinsi hachujiiii

Wewe suruali ya jinsi ya gani sasa? High waist, bwanga au kamatia chini

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Kwani wanawake sifa ya kuwa wanawake inaondolewa na nn?

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
wachunguze wanawake wengi utajua wanatumia muda mwingi kujiongeza wachache sana wamebaki na uwasili wao
 
Wewe suruali ya jinsi ya gani sasa? High waist, bwanga au kamatia chini

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Jinsi haujawai pitwa na wakati ,toka,
Ikiwa mpya ndo fasheni ,ikipauka ndo inazidi kuwa fasheni,Ikichanika ndo usiseme ,Yaan bonge ya katalogiii...

Hivyo hivyo kwa mtoto wa kiume ,Huwa kwanza
Hapitwi na fasheni ,
Huwezi kusikia mwanaume kachuja na Mwanaume huwa Hazeeki ,

Tushukuru sana kwa Upendeleo huu mungu alotupa ,Tofauti na watoto wa kike wao ni kama Suruali ya kitambaaa,Haichelewi kuchanika ,pia hata kupitwa na wakat,
Mwanamke Akiringia uzuru basi Mwambie una mda ,
Akiringia shepu pia mwambie ina mda ,
Kila kitu chao kina mda,

Na ukiona Mtoto wa kiume Anajisifu yeye mzuri ,Moja kwa moja Huyo sio Katika Sisi.


Nyoka Mzee[emoji216]

Sasa na hiyo Jinsi ikichanika matakolioni bado tu itakuwa ni fashion au ni ubwabwa?

Najiuliza tu. [emoji124][emoji124][emoji124]
 
Sasa na hiyo Jinsi ikichanika matakolioni bado tu itakuwa ni fashion au ni ubwabwa?

Najiuliza tu. [emoji124][emoji124][emoji124]
Na mpaka inachanika matakoni ulikalia msumari wa moto?[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kidonge cha motoooo dadekiii

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
 
Kwakweli Mungu katujalia ndo maana hata mwanaume ukiwa na miaka 100 unazalisha, lakini mwanamke akifikisha 45 years tu (Menopause) kuzaa ni utata.........
 
Mkuu yule demu wa kuitwa arabian queen ulimpeleka wapi..mlikuwa na chemistry nzur sana
Hahaha kwanini mkuu unasema hivyoo...
Sijui kapotea wapi mi nilienda funga zangu ramadhani narudi nakuta mshamchukuwa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kwakweli Mungu katujalia ndo maana hata mwanaume ukiwa na miaka 100 unazalisha, lakini mwanamke akifikisha 45 years tu (Menopause) kuzaa ni utata.........
Nashukuru ww umenielewa sana ,maana kuna watu wamedakia huu uzi hawajanielewa nilichokusudia hapa
 
Hahaha kwanini mkuu unasema hivyoo...
Sijui kapotea wapi mi nilienda funga zangu ramadhani narudi nakuta mshamchukuwa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Me nilidhani wote mlipotea kwenda kwenye mfungo na saiz nikafikiri mmerudi wote kwa pamoja...
 
Back
Top Bottom