Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
Jinsi haujawai pitwa na wakati ,toka,
Ikiwa mpya ndo fasheni ,ikipauka ndo inazidi kuwa fasheni,Ikichanika ndo usiseme ,Yaan bonge ya katalogiii...
Hivyo hivyo kwa mtoto wa kiume ,Huwa kwanza
Hapitwi na fasheni ,
Huwezi kusikia mwanaume kachuja na Mwanaume huwa Hazeeki ,
Tushukuru sana kwa Upendeleo huu mungu alotupa ,Tofauti na watoto wa kike wao ni kama Suruali ya kitambaaa,Haichelewi kuchanika ,pia hata kupitwa na wakat,
Mwanamke Akiringia uzuru basi Mwambie una mda ,
Akiringia shepu pia mwambie ina mda ,
Kila kitu chao kina mda,
Na ukiona Mtoto wa kiume Anajisifu yeye mzuri ,Moja kwa moja Huyo sio Katika Sisi.
Nyoka Mzee[emoji216]
Ikiwa mpya ndo fasheni ,ikipauka ndo inazidi kuwa fasheni,Ikichanika ndo usiseme ,Yaan bonge ya katalogiii...
Hivyo hivyo kwa mtoto wa kiume ,Huwa kwanza
Hapitwi na fasheni ,
Huwezi kusikia mwanaume kachuja na Mwanaume huwa Hazeeki ,
Tushukuru sana kwa Upendeleo huu mungu alotupa ,Tofauti na watoto wa kike wao ni kama Suruali ya kitambaaa,Haichelewi kuchanika ,pia hata kupitwa na wakat,
Mwanamke Akiringia uzuru basi Mwambie una mda ,
Akiringia shepu pia mwambie ina mda ,
Kila kitu chao kina mda,
Na ukiona Mtoto wa kiume Anajisifu yeye mzuri ,Moja kwa moja Huyo sio Katika Sisi.
Nyoka Mzee[emoji216]