Mwanaume ni nani? Hebu fuatana na Mimi mpaka mwisho!

Hizo zote ni uongo na utoto
Namba 6 ya kuwa na mipango ya mida mrefu na. Namba 12 ya kuanza upya nakubaliana nazo

Hizo nyingne inategemeana ntu na ntu.
 
Nasoma NARUDIA nasoma NARUDIA. Yani nashindwa kuelewa.

ila kama Kuna kajiukaeli flani Hivi japo ni kachungu....!!!!!

Umenivuruga Sana......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wapi nimekuvuruga mkuu??
 
Umeandika Kwa uchungu sana mkuu imenipain sana
 
Pale mvaa skate anapojipachika uanaume kwa vile tu nae anavaaga suruwali wanazovaa wanaume!

Mleta mada hizo sifa ulizozitaja nimezi-bold hapo juu ni za baba yako na ukoo wako sisi wanaume wengine hatuna ujinga huo.
Ahsante Kwa mchango wako mkuu
 
Mwanaume tuna vichwa viwili hilo ndilo linatuponza na niwachache sana wanaweza kuvi_control
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…