The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wapi nimekuvuruga mkuu??Nasoma NARUDIA nasoma NARUDIA. Yani nashindwa kuelewa.
ila kama Kuna kajiukaeli flani Hivi japo ni kachungu....!!!!!
Umenivuruga Sana......
Umeandika Kwa uchungu sana mkuu imenipain sanaDaah sisi wanaume,tumeumbwa ajabu sana,brother kamuachia mke wake kila kitu,kaondoka na
nguo zake tu,mimi nilikuwa na wanawake nnje wengi sana ila hata siku moja sikuwahi kumdharau mke wangu,naparangana sana mpaka nashindwa kununua nguo lakini mke wangu anabadilisha madera kila kukicha,usiku sipati usingizi nawaza maisha lakini mke wangu anakoroma hata ashituki,na daiwa madeni mtaani lakini mke wangu anataka ela ya kubadilisha nywele,kupaka kucha rangi..
Sisi wanaume tunakufa mapema sana,tunawaacha hao wanawake na mali kibao,kazi yao sasa ni kutumbua na wanaume wengine,sisi wanaume tutaenda mbinguni kabisa
Hahahaha wewe ni Mlipuko fc mkuu??Casemiro huyuuuu alopindua meza!! Wallah kaniboaaa
Ahsante Kwa mchango wako mkuuPale mvaa skate anapojipachika uanaume kwa vile tu nae anavaaga suruwali wanazovaa wanaume!
Mleta mada hizo sifa ulizozitaja nimezi-bold hapo juu ni za baba yako na ukoo wako sisi wanaume wengine hatuna ujinga huo.