Haijalishi mkeo kakuzidi umri, kipato au elimu usikubali mwanamke akuendeshe, usikubali dharau kutoka kwa mtu ambae unamvua nguo huo ni ubwege
Mwanaume uwe na principle zako kama hawezi kuzifuata Bora uachane nae aende kwa hao wanaume anaoona ni bora kuliko wewe.
Lakini kumnyenyekea mwanamke kisa ana vipesa vyake huo ni udhaifu bro, bora pengo kuliko jino bovu.
Mwanamke hata awe nani anahitaji mwanaume wa kumuongoza, mwanamke yeyote asiekua na mwanaume kama kiongozi atapotoka tu, mwanamke anahitaji mwanaume wa kumuongoza na kumwekea limitation kua hiki fanya au kile ucfanye,
Mwanamke anahitaji mtu wa kumcotrol muda kama muda gani awe wapi na nani vinginevyo akifanya anachotak anapoteza muelekeo
Hivyo mwanaume kama.mkeo hakusikilizi kiss Ana vijisenti vyake kuna mwanaume mwingine sehemu anamsikiliza, Bora umpige chini umpe nafasi, katafute maskini mwenzako atakaeweza kukusikiliza kama mwanaume,
Mwanaume uwe na principle zako kama hawezi kuzifuata Bora uachane nae aende kwa hao wanaume anaoona ni bora kuliko wewe.
Lakini kumnyenyekea mwanamke kisa ana vipesa vyake huo ni udhaifu bro, bora pengo kuliko jino bovu.
Mwanamke hata awe nani anahitaji mwanaume wa kumuongoza, mwanamke yeyote asiekua na mwanaume kama kiongozi atapotoka tu, mwanamke anahitaji mwanaume wa kumuongoza na kumwekea limitation kua hiki fanya au kile ucfanye,
Mwanamke anahitaji mtu wa kumcotrol muda kama muda gani awe wapi na nani vinginevyo akifanya anachotak anapoteza muelekeo
Hivyo mwanaume kama.mkeo hakusikilizi kiss Ana vijisenti vyake kuna mwanaume mwingine sehemu anamsikiliza, Bora umpige chini umpe nafasi, katafute maskini mwenzako atakaeweza kukusikiliza kama mwanaume,