Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayaepukiki haya. Siku njema Mkuu.
😅😅😅 nimejikuta nacheka kuiona notification hata kabla sijaona nini umeandika. 😅😅Hmmm!aisee
ha ha ha ha halafu zikaliwe na nani?
wasikudanganye Mshana...ukiwa unapesa halafu unakibamia watakusema sana...mwanaume mashine na pesa lakini
Umenena Mkuu, tujihoji wanaume.Wanawake wakiwa na pesa wengi wao huwa na dharau Sana, wakikosa utawasikia nataka mwanaume mwenye pesa. Wakitafuta waume kigezo mwanaume awe na pesa hata yeye akiwa kapuku wa kutupwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, japokuwa sikuaminiamini vile, kwa namna ulivyouliza kwa kejeli niliona kama vile huwa mnaenjoy tunavyosuffer pale January,Heeee!!! Umeelewa nini nimemaanisha lakini Mkuu? 😳
Nani kasema wanaume mnahangaika inamaana hamna wanawake wanaohangaika na hiyo January?
Labda nikuweke sawa Mkuu nilichomaanisha ni kwamba Mwezi January hakukuwa na nyuzi za namna hii wote tulikuwa busy kutafuta pesa.
😆😆😆amejua kunichekesha hapo na mimi hahahaha.[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Yote hayo halafu ye anakupa nini in return,only papuchi tu?wanatafuta pesa tu,wakipata mtu mwenye hela wanatulia hao mwanamke ni matunzo tu,gari kali,nyumba ya kuishi,na umpe mahitaji yake yote anayostahili pamoja na kumkunja sawa sawa,hapo umemaliza
Sorry[emoji38][emoji38][emoji38]amejua kunichekesha hapo na mimi hahahaha.
Tatizo wanawake wenye K zinazobana na zinazofinyia kwa ndani ni wachache sana