Mwanaume siyo handsome, hana pesa, siyo mstaarabu lakini ana mpini mkubwa. So what?

xav bero, Hua nashangazwa sana na masela wanaojizatiti kutafuta pesa kwa dhana hiyo ya kusema "ukiwa na pesa hauta tendwa"

Watu hawa wanaweza wasipate motivation kutafuta pesa kwa bidii pindi ambapo ndugu yake kipenzi anaumwa na hakuna pesa ya matibabu



It's Scars
 
Nashukuru kwa kiasi flani umeniinua

Typed Using KIDOLE
 
Sawa, japokuwa sikuaminiamini vile, kwa namna ulivyouliza kwa kejeli niliona kama vile huwa mnaenjoy tunavyosuffer pale January,
 
Tangazo lako halijakamilika...na wewe taja sifa zako ...kama vile chura nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…