FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,100
- 1,363
Vipi Nikiwa na Hela halafu nikawa team Kiba100?
Mapenzi hayana kanuni bwana mdogo, pesa zinatafutwa!!
Mapenzi hayana kanuni bwana mdogo, pesa zinatafutwa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InafikirishaUkiona kila nyapu una pewa kwa kutumia pesa sana jitafakari una tatizo ..
Kuna jamaa aliwasilisha kwamba unaweza ukawa na kiba100 na ukamridhisha mwanamke vzuri tuVipi Nikiwa na Hela halafu nikawa team Kiba100?
Mapenzi hayana kanuni bwana mdogo, pesa zinatafutwa!!
Yeah sipingani nae ila nimemkumbisha tu mleta mara kuwa matatizo ni mengi si pesa pekeeKuna jamaa aliwasilisha kwamba unaweza ukawa na kiba100 na ukamridhisha mwanamke vzuri tu
Wavulana wanakaza tu mafuvu nakati;Hayanaga fomula haya
Ananunua penzi nakati Wahuni wanapewa visusio bure kabisa [emoji2]Ukiona kila nyapu una pewa kwa kutumia pesa sana jitafakari una tatizo ..
💯🤝Huyo ni mjinga tu, tutafute hela ndugu Mtanzania ili tuchakate mbususu grade A
Dr. Mariposa niliyokwambia janaHuyo ni mjinga tu, tutafute hela ndugu Mtanzania ili tuchakate mbususu grade A
Carleen, Antonia, Chakorii tafadhali naomba mjichukulie point 3 za msingi sana hizi [emoji116]Wanawake ni kama ndege
Ndege anapotaka kutaga mayai hutafuta sehemu salama ili aweze kutaga mayai yake hvyo tusiwalaumu sana hawa viumbe kila mtu anapenda kuwa sehemu salama
Ila nachowaomba kama unapenda wenye hela wakumbuke wenye hela hawawez kula mbususu moja,
Nenda kwa mwenye pesa kwa ajili ya maisha yako,usitake kumfundisha namna ya kutumia pesa zake maana hata wewe upo ili utumie
Vipi na ww unatushauri tuchakate sana au tutulie na pisi za kawaida tu?Yeah sipingani nae ila nimemkumbisha tu mleta mara kuwa matatizo ni mengi si pesa pekee
Kudadadeki JF hii daaah [emoji28][emoji119]Vipi Nikiwa na Hela halafu nikawa team Kiba100?
Mapenzi hayana kanuni bwana mdogo, pesa zinatafutwa!!
Dr. Mariposa"Ila nachowaomba kama unapenda wenye hela wakumbuke wenye hela hawawez kula mbususu moja,
Nenda kwa mwenye pesa kwa ajili ya maisha yako,usitake kumfundisha namna ya kutumia pesa zake maana hata wewe upo ili utumie"
Alikuwa na tango ukubwa gani? [emoji2960][emoji4]Wakati Adam anamuoa Hawa, alikuwa na sh ngapi bank? Alikuwa na nyumba ngapi? Alikuwa na magari mangapi? Alikuwa na digrii ngapi?
Naona huna mpango wa kwenda mbinguniAlikuwa na tango ukubwa gani? [emoji2960][emoji4]