Mwanaume tafuta hela, acha kusema wanawake wanapenda hela hizo ni hasira za umasikini

Mwanaume tafuta hela, acha kusema wanawake wanapenda hela hizo ni hasira za umasikini

Naona huna mpango wa kwenda mbinguni
Kizazi cha leo hii Ke wanajisokomeza chupa, dildos n.k kwenye visusio vyao afu wakikutana na M.B.O halisi hawafikishwi kileleni na kuanza kuponda Me tuna viba100, sasa kwanini tusimchukulie Binadamu wa kwanza kuumbwa "Adam" kama Reference?
 
Na ukiwa na hela hakikisha haufungi ndoa hata mwanamke akulagai vipi au ushauriwe na nani , hata upigiwe magoti na viongozi wa dini...
Ndoa usifunge kabisa ila usiache kua na mke, epuka kile cheti chao ,
utakuja kunishukuru
 
Anayeongea hivyo baba yake ni kapuku wa kutupwa
 
Wakati Adam anamuoa Hawa, alikuwa na sh ngapi bank? Alikuwa na nyumba ngapi? Alikuwa na magari mangapi? Alikuwa na digrii ngapi?
Tafuta pesaaa acha kujilinganisha na watu wa vitabu wa karne ya 0 wewe upo karne ya 21 na unaishi uhalisia sio kwenye vitabu,

Pesa Pesa Pesaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom