lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Mshamba wewe,dadako na Binti zako wakichezewa hivyo unajisikiaje f,...you.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemjibu vizuri.Hatumiliki magari ili kufanyia ufuska,tunamiliki magari ili kututrahisishia kazi zetu za hapa na pale.Hahaha umeandika kwa hisia kama wanaume Wa jamii forum wote unawafahamu , Magari tunayo ila hatufanyi ujinga broh
Umeaanza sasa wewe bwegeMwanaume hajisfii uzuri utafilwa fala mmoja
Hivi kuna mwanaume jamii forum hana gari zaidi ya mimi na wewe? Hebu ambao hatuna magari tujuane.Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.
Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.
Acha ujinga tafuta pesa.
Nb. Mimi nina madeni mengi.
Una akili kama jina lako la mwanzo mremboSasa Barmaid ni mpaka uwe na gari! Ukimuoneshea wekundu tu anakufata hadi chooni mnamalizana,
Rudisha gari ya watu huna matumizi nayo
Magari yana mambo mengiLeo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.
Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.
Acha ujinga tafuta pesa.
Nb. Mimi nina madeni mengi.
Taratibu anajifunza. Hata wewe kuna sehemu dhaifu ulikoanziaga kujifunzia.Confidence yako ipo kwenye gari tena kwa barmaid,
Yaani wewe ni bonge la mjanja flani.ndiyo mkuu. Hapa naish kimiujiza tu, halafu nashangaa sifi.
Yuko sawa. Hiyo ni hatua tu katika mapito ya maisha wanaume wengi huwa tunapitia.We unahisi mleta mada Yuko sawa?Kuna mawili hapa, either aendelee na dozi au aanze dozi