Mwanaume tambua thamani yako

Mwanaume tambua thamani yako

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
2,044
Reaction score
4,558
Kama huna kitu, huna thamani na huo ndo ukweli. Hasa kwa sisi wanaume thamani yetu inaambatana na mafanikio tuliyo yapata kwa juhudi na maarifa yetu.

Vijana wengi tunapoteza valuable time kudiscuss vitu visivyo na manufaa, toka nje kapige kazi, hakuna kitu kitakuja kwa kukaa siku nzima uki scoll kwenye simu yako udaku, porn, social media na dating sites. Hakuna mwanamke anayependa mtu fukara.

Wanaume wengi tumejikuta tukiingia kwenye kuamini hakuna upendo wa kweli, ilhari tunajua nature ya mwanamke ni kupenda mwanaume atakaye kidhi mahitaji yake na familia. Vijana wengi wapowapo tu, kazi kuishi kuiga wazungu na lifestyle za kishua. Acheni ulimbukeni usio na tija, nashangaa kijana unamilikia simu ya 3m na kiwanja huna, huna hata biashara yoyote na uko kwenu. Hivi wewe ndo wakuweza kutunza na kulea familia?

Valuable men don't talk much they take actions. Anza kuchukua hatua kila siku kutimiza ndoto zako. Haijalishi unafanya nini, sidhani unaweza kosa fursa au nyenzo za kuanzia, tatizo watu tunapenda kuanzia pakubwa, et nataka kama million 10 hv, ndo uhakika. Stop wasting valuable time ukisubiri kupata mtaji mkubwa. Start small.

Kama hauna mali hauna thamani, mwanaume kaza. Hakuna mwanamke atakae kupenda jinsi ulivyo trust me hakuna. Physical appearance ya mwanaume haina tija kwa mwanamke kama uko broke hauna mvuto, it's all about the paper. Ni hayo tu, tupige kazi wakuu... am out🚶
 
Malezi ya kizazi cha mlengo wa kumkomboa mtoto wa kike, kimemuathiri sana mtoto wa kiume. Popote ulipo msaidie mtoto wa kiume ajitambue kwamba yeye ni mwanamume, mtawala, kichwa cha nyumba, mpambanaji, nguzo ya taifa na familia. Mapambano yaanzie nyumbani. Mwanamke mpambanie mwanao wa kiume. Wachache watanielewa.
 
Mkuu,thamani ya mtu haijengwi na kitu,usifanye masikini wakataka kujiua kwa kuamini hawana thamani kabisa na usifanye wenye nacho wakaamini wamemaliza kila kitu.

Msingi wa mwanaume kujituma uwe katika kuifanya himaya yake imara,sio kutafuta upendo kwa yeyote yule.wapo watu wana pesa na mapenzi yamewafanya kujiona si kitu si lolote,kuna vitu Mungu aliviumba tu kama vilivyo,havina mbadala.

Kweli wanaume wafanye kazi,maisha ni magumu sana kwa asiye na chochote,lakini mapenzi anaweza kupata.
 
Kama huna kitu, huna thamani na huo ndo ukweli. Hasa kwa sisi wanaume thamani yetu inaambatana na mafanikio tuliyo yapata kwa juhudi na maarifa yetu.

Vijana wengi tunapoteza valuable time kudiscuss vitu visivyo na manufaa, toka nje kapige kazi, hakuna kitu kitakuja kwa kukaa siku nzima uki scoll kwenye simu yako udaku, porn, social media na dating sites. Hakuna mwanamke anayependa mtu fukara.

Wanaume wengi tumejikuta tukiingia kwenye kuamini hakuna upendo wa kweli, ilhari tunajua nature ya mwanamke ni kupenda mwanaume atakaye kidhi mahitaji yake na familia. Vijana wengi wapowapo tu, kazi kuishi kuiga wazungu na lifestyle za kishua. Acheni ulimbukeni usio na tija, nashangaa kijana unamilikia simu ya 3m na kiwanja huna, huna hata biashara yoyote na uko kwenu. Hivi wewe ndo wakuweza kutunza na kulea familia?

Valuable men don't talk much they take actions. Anza kuchukua hatua kila siku kutimiza ndoto zako. Haijalishi unafanya nini, sidhani unaweza kosa fursa au nyenzo za kuanzia, tatizo watu tunapenda kuanzia pakubwa, et nataka kama million 10 hv, ndo uhakika. Stop wasting valuable time ukisubiri kupata mtaji mkubwa. Start small.

Kama hauna mali hauna thamani, mwanaume kaza. Hakuna mwanamke atakae kupenda jinsi ulivyo trust me hakuna. Physical appearance ya mwanaume haina tija kwa mwanamke kama uko broke hauna mvuto, it's all about the paper. Ni hayo tu, tupige kazi wakuu... am out🚶
nadhani kua na thamani, heshma na muhimu, ni jumla ya mambo mengi sana. Mathalani maadili mema, mwenye biidi katika kazi, na mwenye kujipatia kipato halali cha kutosha, kua mtu wa haki, usawa na mwenye huruma, mkweli, asie mbinafsi na mwenye upendo, nguvu , msamaha nakadhalika na kadhalika.......

hata hivyo msingi wa thamani, heshma, na umuhimu wako hutokakana na kumcha Mungu.


Imeandikwa,
Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa 🐒

mfano,
unaweza kua na pesa na mali nyingi but huna nguvu za kijinsia na vilevile mchoyo, na hujali wengine. means hukua na maarifa ya kutunza nguvu zako za kijinsia, unless by nature, ajali au maradhi umekua hivyo. value yako inashuka 🐒
 
Nimewahi kuwa na mwanamke nikampa kila alichotaka lakini nilichoambulia toka kwake ni mazoea ya kijinga, heshima ikapotea, nikaamua tuachane.

Sasa hapo mleta mada sijui unanifundisha kitu gani?

Simply, mali sio kila kitu kwenye haya maisha, tena kuwa na mali kunaweza kuwa ndio mwanzo wa kupoteza vingine kwenye haya maisha, wakati wewe unaona maisha kwa upande mmoja, wengine tunayaona maisha kwa upande mwingine.

Dunia ni tambara bovu, usijione mwalimu zaidi ya wengine, hayajakufika siku yakikupata utajua vizuri what i mean, wanawake ni viumbe wasiojua wanachokitaka, nashangaa wewe umeamua kuwa msemaji wao.
 
Mkuu,thamani ya mtu haijengwi na kitu,usifanye masikini wakataka kujiua kwa kuamini hawana thamani kabisa na usifanye wenye nacho wakaamini wamemaliza kila kitu.

Msingi wa mwanaume kujituma uwe katika kuifanya himaya yake imara,sio kutafuta upendo kwa yeyote yule.wapo watu wana pesa na mapenzi yamewafanya kujiona si kitu si lolote,kuna vitu Mungu aliviumba tu kama vilivyo,havina mbadala.

Kweli wanaume wafanye kazi,maisha ni magumu sana kwa asiye na chochote,lakini mapenzi anaweza kupata.
Sijataka watu wajione hawawezi na kukata tamaa, bali nawasihi wapambanie malengo na mustakabali wa maisha yao.

It depends na mwanaume anataka nini maishani, so hakuna haja ya kujilinganisha na wengine. Swala la kusema Mungu ndo alivyoomuumba ni kukubaliana na hali pasipo kuchukua hatua, Mungu humsaidia anae jituma. Tuache kuhisi umaskini ni mipango ya Mungu. Asiye na chochote hana thamani.
 
nadhani kua na thamani, heshma na muhimu, ni jumla ya mambo mengi sana. Mathalani maadili mema, mwenye biidi katika kazi, na mwenye kujipatia kipato halali cha kutosha, kua mtu wa haki, usawa na mwenye huruma, mkweli, asie mbinafsi na mwenye upendo, nguvu , msamaha nakadhalika na kadhalika.......

hata hivyo msingi wa thamani, heshma, na umuhimu wako hutokakana na kumcha Mungu.


Imeandikwa,
Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa 🐒

mfano,
unaweza kua na pesa na mali nyingi but huna nguvu za kijinsia na vilevile mchoyo, na hujali wengine. means hukua na maarifa ya kutunza nguvu zako za kijinsia, unless by nature, ajali au maradhi umekua hivyo. value yako inashuka 🐒
You're a Genius bro , take 🤛 now.
 
Kama unatafuta hela ili kuinfluence wanawake wewe ndo unaetakiwa uache ujinga.
Sijaongelea kufanya wanawake kukupenda, nimeongelea thamani ya mwanaume. Tambua thamani yako kama mwanaume, ambayo basically ndo itakufanya uwe na mwanamke na kuishi maisha mazuri.
 
Sijaongelea kufanya wanawake kukupenda, nimeongelea thamani ya mwanaume. Tambua thamani yako kama mwanaume, ambayo basically ndo itakufanya uwe na mwanamke na kuishi maisha mazuri.
Thamani ya mwanaume haipo kwenye kufanya kazi ili awainfluence wanawake
 
nadhani kua na thamani, heshma na muhimu, ni jumla ya mambo mengi sana. Mathalani maadili mema, mwenye biidi katika kazi, na mwenye kujipatia kipato halali cha kutosha, kua mtu wa haki, usawa na mwenye huruma, mkweli, asie mbinafsi na mwenye upendo, nguvu , msamaha nakadhalika na kadhalika.......

hata hivyo msingi wa thamani, heshma, na umuhimu wako hutokakana na kumcha Mungu.


Imeandikwa,
Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa 🐒

mfano,
unaweza kua na pesa na mali nyingi but huna nguvu za kijinsia na vilevile mchoyo, na hujali wengine. means hukua na maarifa ya kutunza nguvu zako za kijinsia, unless by nature, ajali au maradhi umekua hivyo. value yako inashuka 🐒
Kwaiyo unamaanisha anaekesha makanisani na kumcha mungu ndo ataheshimika? Acha kupotosha vijana, above all men should toil and work to gain respect. Hayo mengine ni ziada tu.

Vijana pigeni kazi acheni nadharia zisizo na mashiko, period.
 
Thamani ya mwanaume haipo kwenye kufanya kazi ili awainfluence wanawake
Soma title ya uzi mkuu, na kingine mwanaume anatafta mafanikio kwa ajili ya nani kama sio familia na uzao wake? Stop being naive! Sijataja kuinfluence wanawake kwenye uzi.
 
Soma title ya uzi mkuu, na kingine mwanaume anatafta mafanikio kwa ajili ya nani kama sio familia na uzao wake? Stop being naive! Sijataja kuinfluence wanawake kwenye uzi.
Ulivyosema mwanamke hawezi kukupenda ukiwa huna kitu hapo ndo lengo la uzi wako lilipo inaonekana wewe unatafuta hela ili upendwe na mwanamke/wanawake
 
Sijataka watu wajione hawawezi na kukata tamaa, bali nawasihi wapambanie malengo na mustakabali wa maisha yao.

It depends na mwanaume anataka nini maishani, so hakuna haja ya kujilinganisha na wengine. Swala la kusema Mungu ndo alivyoomuumba ni kukubaliana na hali pasipo kuchukua hatua, Mungu humsaidia anae jituma. Tuache kuhisi umaskini ni mipango ya Mungu. Asiye na chochote hana thamani.
Acha utani na mambo ya Mungu
 
Kwaiyo unamaanisha anaekesha makanisani na kumcha mungu ndo ataheshimika? Acha kupotosha vijana, above all men should toil and work to gain respect. Hayo mengine ni ziada tu.

Vijana pigeni kazi acheni nadharia zisizo na mashiko, period.
sijashauri yeyote yule aende kwenye nyumba yeyote ibada whether ni kanisani au misikiti 🐒

and for your information kuna watu wana zaidi ya miaka mi5 haijawahi kukanyaga huko unako dhani but ni wacha Mungu balaa na Neema na Baraka za Mungu zinawamiminikia na kuwatiririkia kama mvua. Ni watoaji hodari, wanaheshimika na wanapendwa kweli kweli kila kona ya maeneo wanapoishi.

Chanzo cha kuheshimika kwao ni kumcha Mungu sirini kwao 🐒

kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa. Uende misikitini, uende kanisa au sirini pako, Mungu anakuona, anakuskiza na atakuonyesha njia ukimwomba 🐒
 
Back
Top Bottom