Mwanaume tambua thamani yako

Mwanaume tambua thamani yako

We fanya shughuli zako ,ishi maisha yako ,take control ya maisha yako hata kama una kula mlo mmoja.Jenga nyumba yako hata kama ya tope.Timiza majukumu yako kama mwanaume kama una familia na usimsahau mama yako.Utaishi kwa heshima.
Hauna haja ya kuwaimpress wanawake kwa vipesa uchwara na vijeans vya kichina na raba .Anaetaka kuja kwenye maisha yako atakuja tu.Ila pesa muhimu .Naunga mkono hoja .
 
N
Ulivyosema mwanamke hawezi kukupenda ukiwa huna kitu hapo ndo lengo la uzi wako lilipo inaonekana wewe unatafuta hela ili upendwe na mwanamke/wanawake
Hapana mkuu, nimetumia mfano huo kufikisha ujumbe na kupoint sehemu amabayo vijana wengi wanapotezea mda,
Wajibu wa mwanaume katika jamii ni kutafta na sivinginevyo, hilo ndo jambo litakalo mfanya aonekane mwenye thamani.
 
We fanya shughuli zako ,ishi maisha yako ,take control ya maisha yako hata kama una kula mlo mmoja.Jenga nyumba yako hata kama ya tope.Timiza majukumu yako kama mwanaume kama una familia na usimsahau mama yako.Utaishi kwa heshima.
Hauna haja ya kuwaimpress wanawake kwa vipesa uchwara na vijeans vya kichina na raba .Anaetaka kuja kwenye maisha yako atakuja tu.Ila pesa muhimu .Naunga mkono hoja .
💯💯
 
Back
Top Bottom