Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Wanaume wanabong’oa hawaogopi barabarani, wnakata mauno wametufunika mpk dada zao..Mbona hatari hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume wanabong’oa hawaogopi barabarani, wnakata mauno wametufunika mpk dada zao..Mbona hatari hii
Labda kwa mikoa ya pwani na kusini lakini makabila ya baadhi ya kaskazini na katikati mwa Tanganyika kutoboa masikio na kusuka kwa wanaume tena baba wa familia ya wake watatu na zaidi ilikua jambo la kawaida kabisa hata baadhi mpaka sasa.Kuna jambo huenda watu wengi hawalifahamu . Umewahi kujiuliza mwanaume ujasiri wa kusuka kichwa anautoa wapi?
Umewahi kujiuliza mwanaume ujasiri wa kuvaa hereni masikioni au puani anautoa wapi?
Jibu ni hili hapa chini 👇👇👇
Mkuu wa Dunia hii almaarufu Shetani ibun Ibilisi ndiye anayewapa ujasiri. Vijana wanaohangahika kutafuta umaarufu bila kujua kuwa kuna ibilisi ndiye mgawa umaarufu, shetani anawapa huo umaarufu lakini masharti yake ni wawe wajumbe wa mapenzi ya ya jinsia moja.
Zoezi linalofuata kumwagiwa hiyo roho chafu pamoja na umaarufu na kila wanapotazamwa kwenye runinga , simu na sehemu zingine automatically roho chafu za ushoga na kubadili jinsia zinamwagwa kwa watazamaji.
Eti leo kuna taasisi zinatetea haki ya mtu au mtoto kuchagua jinsia yake.
Soma Pia:
Mtoto anazaliwa ni wakiume lakini anaambiwa yuko free kuchagua gender. Huu ni ushetani.
- Mmomonyoko wa maadili na maendeleo ya Taifa la Tanzania
- Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako
Mtoto anazaliwa ni wa kike lakini anaambiwa yuko free kuchagua gender. What satanic is that!!
Kifupi ni Tabia za KishogaMission ya kupunguza wanaume duniani imeshika Kasi kubwa,
Nia ni kuitawala Ulimwengu kirahisi, maana Mwanaume mvaa hereni ,shoga au mla chips Si Rahisi kuhoji au kusimama kiume kwenye lolote.
HahahaWanaume wanabong’oa hawaogopi barabarani, wnakata mauno wametufunika mpk dada zao..
Huyu Kiboko ya Wachawi?😆😆😆
Mbona wanaume wa Ulaya na Marekani ndio wana uwezo mkubwa zaidi wa kuhoji na kusimama kiume tofauti na wanaume wa bongo??Mission ya kupunguza wanaume duniani imeshika Kasi kubwa,
Nia ni kuitawala Ulimwengu kirahisi, maana Mwanaume mvaa hereni ,shoga au mla chips Si Rahisi kuhoji au kusimama kiume kwenye lolote.
Wasukuma nilikutana nao masela wamepiga hereni masikio yote mawili!Hereni ni mapambo na niutamaduni wa mwafrika,njoo ugogoni,usukumani,na umasaini n.k
type shit ...aina fulani hivi ya wanaume ovyoWengine hao kutoka kigamboni 😂😂😂
😂😂😂😂 nipo babaanguumerudi mbna unapotea.potea
Huyo mwenye black suit na mwenzie anayepiga samasoti ndio wamenichosha kabisaaa 🤣🤣🤣type shit ...aina fulani hivi ya wanaume ovyo
huu sio utafutaji ni uhuni kama uhuni mwingineHuyo mwenye black suit na mwenzie anayepiga samasoti ndio wamenichosha kabisaaa 🤣🤣🤣
sijakuona.kitambo😂😂😂😂 nipo babaangu
Wanaheshimu kazi yao, ndio inawaweka mjini eti 😂😂huu sio utafutaji ni uhuni kama uhuni mwingine
😀
Hao wanaume wa ulaya,Wanakataa USHOGA?Mbona wanaume wa Ulaya na Marekani ndio wana uwezo mkubwa zaidi wa kuhoji na kusimama kiume tofauti na wanaume wa bongo??
Namaanisga mashoga wa ulaya na Marekani wanasimama kidete kwa matumizi sahihi ya kodi za raia na freedom of speech kuliko wanaume wasio mashoga bongo.Hao wanaume wa ulaya,Wanakataa USHOGA?
Wewe ni shoga?Namaanisga mashoga wa ulaya na Marekani wanasimama kidete kwa matumizi sahihi ya kodi za raia na freedom of speech kuliko wanaume wasio mashoga bongo.
Mbona mnatamani kuwa kama Ulaya na Marekani??Wewe ni shoga?
Na ikiwa u shoga, unaamini kudai HAKI , kukemea RUSHWA na u adhirifu bila kujua kuwa USHOGA ni machukizo na hatari juu ya mustakabali wa vizazi vijavyo ni uamuzi sahihi?