Mwanaume ujasiri wa kusuka na kuvaa hereni anautoa wapi?

Mwanaume ujasiri wa kusuka na kuvaa hereni anautoa wapi?

Kuna jambo huenda watu wengi hawalifahamu . Umewahi kujiuliza mwanaume ujasiri wa kusuka kichwa anautoa wapi?

Umewahi kujiuliza mwanaume ujasiri wa kuvaa hereni masikioni au puani anautoa wapi?
Jibu ni hili hapa chini 👇👇👇

Mkuu wa Dunia hii almaarufu Shetani ibun Ibilisi ndiye anayewapa ujasiri. Vijana wanaohangahika kutafuta umaarufu bila kujua kuwa kuna ibilisi ndiye mgawa umaarufu, shetani anawapa huo umaarufu lakini masharti yake ni wawe wajumbe wa mapenzi ya ya jinsia moja.

Zoezi linalofuata kumwagiwa hiyo roho chafu pamoja na umaarufu na kila wanapotazamwa kwenye runinga , simu na sehemu zingine automatically roho chafu za ushoga na kubadili jinsia zinamwagwa kwa watazamaji.
Eti leo kuna taasisi zinatetea haki ya mtu au mtoto kuchagua jinsia yake.

Soma Pia:
Mtoto anazaliwa ni wakiume lakini anaambiwa yuko free kuchagua gender. Huu ni ushetani.
Mtoto anazaliwa ni wa kike lakini anaambiwa yuko free kuchagua gender. What satanic is that!!
Labda kwa mikoa ya pwani na kusini lakini makabila ya baadhi ya kaskazini na katikati mwa Tanganyika kutoboa masikio na kusuka kwa wanaume tena baba wa familia ya wake watatu na zaidi ilikua jambo la kawaida kabisa hata baadhi mpaka sasa.
Tamaduni za Umagharibi na umashariki zinafanya leo uone huo ni ushetani
 
Mission ya kupunguza wanaume duniani imeshika Kasi kubwa,

Nia ni kuitawala Ulimwengu kirahisi, maana Mwanaume mvaa hereni ,shoga au mla chips Si Rahisi kuhoji au kusimama kiume kwenye lolote.
Mbona wanaume wa Ulaya na Marekani ndio wana uwezo mkubwa zaidi wa kuhoji na kusimama kiume tofauti na wanaume wa bongo??
 
Mashoga maarufu tunaowaona mitandaoni na hapa Tanzania wala hawasuki. (Refer kwa list ya Dudubaya na partners wa Diddy Combs)
Wanakata nywele na kuvaa smart tu..

Kusuka hakuna uhusiano wowote na ushoga.

Kwenye International Schools, watoto wanasuka nywele (wakipenda), na wala si mashoga.

Wamasai wengi tu Wanasuka nywele, wanavaa vikuku n.k na si mashoga.

List ni ndefu..

Ni watu wasio na uelewa mpana tu ndiyo hudhani kila mtu duniani anafikiri kama wao.
 
hili swali ukiwauliza masai itakuwa vyema sana maana wanasuka na wanaweka hereni!,hapo na wanaua simba haitoshi wanawake wao wananyoa upara!..😁
 
Hao wanaume wa ulaya,Wanakataa USHOGA?
Namaanisga mashoga wa ulaya na Marekani wanasimama kidete kwa matumizi sahihi ya kodi za raia na freedom of speech kuliko wanaume wasio mashoga bongo.
 
Namaanisga mashoga wa ulaya na Marekani wanasimama kidete kwa matumizi sahihi ya kodi za raia na freedom of speech kuliko wanaume wasio mashoga bongo.
Wewe ni shoga?

Na ikiwa u shoga, unaamini kudai HAKI , kukemea RUSHWA na u adhirifu bila kujua kuwa USHOGA ni machukizo na hatari juu ya mustakabali wa vizazi vijavyo ni uamuzi sahihi?
 
Wewe ni shoga?

Na ikiwa u shoga, unaamini kudai HAKI , kukemea RUSHWA na u adhirifu bila kujua kuwa USHOGA ni machukizo na hatari juu ya mustakabali wa vizazi vijavyo ni uamuzi sahihi?
Mbona mnatamani kuwa kama Ulaya na Marekani??
 
Back
Top Bottom