Mwanaume ujasiri wa kusuka na kuvaa hereni anautoa wapi?

Mission ya kupunguza wanaume duniani imeshika Kasi kubwa,

Nia ni kuitawala Ulimwengu kirahisi, maana Mwanaume mvaa hereni ,shoga au mla chips Si Rahisi kuhoji au kusimama kiume kwenye lolote.
Malinda hayapo salama kwa walamba lips wote mjini wakibanishwa kwenye angle wanaachia jicho lipigwe mwanao wa kiume usimruhusu awe na tabia za kulamba lips atachezea mipini
 
Kipenzi una mental defect hauko sawa.
Wengine watahisi umelogwa au umelaaniwa ila mim siamin ktk hayo.

Unatia huruma sana na unahitaji msaada.

Najua baada ya hii comment yangu ndo utazidi kujidhalikisha kwa kuandika maujinga yako kuonyesha hujali huku ukijisapoti na ID zako zingine ila tambua you are not as covered as you think .Hebu jisaidie sbb unaweza
 
Mission ya kupunguza wanaume duniani imeshika Kasi kubwa,

Nia ni kuitawala Ulimwengu kirahisi, maana Mwanaume mvaa hereni ,shoga au mla chips Si Rahisi kuhoji au kusimama kiume kwenye lolote.
Mbona nyie wenyewe malijari mnashindwa kuhoji, na kusimama kiume ktk mambo ya maslahi ya umma, zaidi ya kubwataa mtandaoni??

Mmevurugwaaaa.
 
Unadhani yule dogo wa usafini alipata wapi ujasiri wa kwenda kupakwa kilainishi kule kwa unyamwezini
 
Mbona wanaume wa Ulaya na Marekani ndio wana uwezo mkubwa zaidi wa kuhoji na kusimama kiume tofauti na wanaume wa bongo??
Hebu semaa wewee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wabongo wengi ni slow learners, ni wa kuwapuuza tyuuh.
 
Mission ya kupunguza wanaume duniani imeshika Kasi kubwa,

Nia ni kuitawala Ulimwengu kirahisi, maana Mwanaume mvaa hereni ,shoga au mla chips Si Rahisi kuhoji au kusimama kiume kwenye lolote.
Ondoa mla chips! Kula chips haijawahi kuwa dhambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…