Mwanaume Ukifumaniwa unachepuka, usikimbie

Sasa hapa nimekuelewa japo nakumbuka fedhea na aibu kwa yaliyopita .

Fumanizi sio zuri ni aibu sana linanyima raha
 
Sio balozi,huyu anakaribia cheo cha UKOMANDO,ila ajuwe hata makomando nao huwa kuna siku wanaharibu,hapa ni shetani tu anakufichia mbinu zako zote unashangaa siku ya tukio unafanya madudu...
Hapana mkuu,
Yule kachepuka kifara afu anamuogopa sn mkewe, ndo wale wanapigwa vibao ndani, who knows?[emoji1]
 
Kwaio tusikimbie.....😊😊🤓🤓
 
Umefumaniwa hata siku moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…