Mwanaume Ukifumaniwa unachepuka, usikimbie

Mwanaume Ukifumaniwa unachepuka, usikimbie

Wakuu,
Hebu tuachane na story za yule mpuuz jana katutia aibu sababu ya utoro wake kutohudhuria vikao,barua yake ya kumfuta uanachama iko tayari, itamkuta uko uko aliko.

Kila Mara kwny vikao vyetu tunasema, Leo narudia,Tena kwa msisitizo zaid:-
Mwanaume ukishakua mchepukaji lazima uwe na plan B unatoka vipi siku Ukifumaniwa unachepuka.

Sio unaanza kuweweseka, kubabaika na kuanza kujieleza Sana ukiomba misamaha kisa hofu ya kuachwa.
Mwanamke mpk anakufumania uyo anakupenda sana na hayuko tayar kukuacha. Lengo la kukufumania Ni kumkomesha uyo mchepuko wako atie adabu na sio Wewe.

Sasa unapojishusha unampa mfumaniaji confidence ya kukufanyia atakavyo eneo la famanizi ikiwemo kukudhalilisha na kuhatarisha usalama wako pamoja na usalama wa uyo Mchepuko wako.

Unachotakiwa KUFANYA Ni kujiamini, kuuvaa mfumo dume na kutumia UBABE kias ulioambatana na mkwara wa akili zaidi kutoroka eneo la fumanizi salama salmini mbele ya mfumaniaji kuepusha kudhalilika, madhara kwako na Mchepuko wako.

NB: Ukiona analeta usumbufu sana hata vibao kias vinaweza kumhusu shavuni ili mradi utoke eneo la tukio salama salmin na usidhalilike Zaid.

Kama Kuna la kujadili, sio eneo la fumanizi, Basi mtakutana uko uko nyumbani. Na uko utaratibu Ni ule TU, KUKANA SHTAKA 100% , hata Kama ulikutwa LIVE mapajani unafanya mapenzi.

BINAFSI,
MWANAMKE YEYOTE ASIJE THUBUTU KUNIFUMANIA, WALIONIFUMANIA WOTE WAMEPATA MATOKEO TOFAUTI NA WALIYOTARAJIA ENEO LA FUMANIZI

Nawasilisha[emoji1431]
Uanaume ni mikazo,kaza mpaka tone la mwisho,kaza kweli kweli

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
 
Sio balozi,huyu anakaribia cheo cha UKOMANDO,ila ajuwe hata makomando nao huwa kuna siku wanaharibu,hapa ni shetani tu anakufichia mbinu zako zote unashangaa siku ya tukio unafanya madudu...
🤣🤣🤣🤣Ipo siku atadakwa kizembe sana ....ni vle tu huku atatupa story ambazo yeye anakua kama sterling kwenye movie za kihindi lazima ushinde
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ipo siku atadakwa kizembe sana ....ni vle tu huku atatupa story ambazo yeye anakua kama sterling kwenye movie za kihindi lazima ushinde
Kudakwa kivipi Sasa,

Kwamba MKE wangu atanizid Nguvu au vipi?

Kwamba atanipiga sindano ya ganzi au vipi?

Cha kwanza unapofumaniwa ni usalama wa Mchepuko wako, maana yeye ndo vurnerable target number one.

Ukizubaa anauwawa afu tukio linasambaa unadhalilika na Kesi kibao kuhudhuria mahakamani.

Pia mkeo anaweza fungwa jela kwa uzembe wako kutochukua hatua za kiume.

Mwanaume unapochepuka lazma uwe na vision, sio uongozwe na mihemko[emoji4]
 
Kama Kuna la kujadili, sio eneo la fumanizi, Basi mtakutana uko uko nyumbani. Na uko utaratibu Ni ule TU, KUKANA SHTAKA 100% , hata Kama ulikutwa LIVE mapajani unafanya mapenzi
😁😁😁
Unamwambia alikufananisha!
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
Unamwambia alikufananisha!
Ntajitetea ulikua mgomba ule,
Nilichukuliwa msukule haikua akili yangu

Hukumbuki lile tukio la mzee wa ufufuo,
alikana haukua mkono wake,ulkua mkono wa baunsa ule[emoji1787]
 
Mwenye PhD yake kasaliti vikao vyenu mchana kweupe[emoji1787]
 
Nilishawahi kufumaniwa na ex wife wangu mzungu nikamwambia baby sijafanya chochote na huyu mwanamke cause I identify my self as a transgender since yesterday mzungu akapanic ila akaogopa kunizungua maana angeonekana ni transforbic ,na transphorbia Kwa jamii yake ni sirias offence, chukueni notice apa wanandoa wakware
 
Yaani kuna waume halafu kuna waume-wanaume, my bro DeepPond wewe kiboko😁

Kwa nguvu zote nitaendelea kusema zinaa haikubaliki

Na siku zote nitaendelea kusema mwanaume anatakiwa kuwa na misimamo, anatakiwa kuwa mkali kwenye mambo ya msingi haswa yanahusu utu wake na familia yake ikiwa ni pamoja na kutoruhusu mtu yoyote ndani ya nyumba yake kufanya jambo litakaloaibisha familia yake.

Sitasema kwamba ni sawa kwa mwanaume kuchepuka, ila pia nitasema fumanizi la aibu sio busara wala haitokaa iwe zuio kwa mwanaume kuchepuka.

Mimi kama mwanamke naamini siku nikiamua kufanya fumanizi la aibu kwa mume wangu ni kwamba mapenzi yameisha siwezi tena hata kuishi.

Zipo mbinu nyingi za kudeal na hizi changamoto lakini hili la kumvua nguo mume na kumuaibisha mbele za watu hala ukaendelea kuishi nae yeye atadharulika lakini wewe mwanamke utaonekana janamke jinga kuliko.

Kwa mwanaume mwenye akili za aina yake ukishamfumania hivyo mapenzi yameisha....
Dada hapa ndio ule mstari wa mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake,bali mpumbavu hubomoa kwa mikono yake mwenyewe,

Mithali 14:1-18

Mwanamke unaenda vipi kumfumania mume ilhali bado wamtaka?sitaki aibu Mimi kwenye familia yangu
 
DP wewe unajielewa ,,,wengine wangekuachia fani yako Kwa kweli😂😂😂wenzio waoga
 
Dada hapa ndio ule mstari wa mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake,bali mpumbavu hubomoa kwa mikono yake mwenyewe,

Mithali 14:1-18

Mwanamke unaenda vipi kumfumania mume ilhali bado wamtaka?sitaki aibu Mimi kwenye familia yangu

Na hapa ndio utakuta ule ujinga alonao mwanamke ndio unaomsukuma mwanaume kutafuta michepuko, ambapo anaishia kufumaniwa, anakimbia kisha anapata ajali mwisho afe kabisaaa

Wanaume oeni wanawake wenye uwezo wa kutatua matatizo ya familia. Makalio hata uturuki yanauzwa🙄🙄
 
Dada hapa ndio ule mstari wa mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake,bali mpumbavu hubomoa kwa mikono yake mwenyewe,

Mithali 14:1-18

Mwanamke unaenda vipi kumfumania mume ilhali bado wamtaka?sitaki aibu Mimi kwenye familia yangu
Mkuu Hii comment ya mama D umeiquote kutoka wapii? Mbona sijaiona?
Au mods wameifuta?[emoji848]
 
Back
Top Bottom